Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ikumbukwe kwamba leo 06/01/2024 kuna kongamano ndani ya Bunge la Tanzania kuhusiana na masuala ya Uchaguzi , na muundo wa Tume huru ya Uchaguzi .
Kwa muda fulani Dodoma ilijaa bashasha na shangwe nyingi , kiasi cha Wananchi kusahau kwa muda dhiki za Tanzania na kushangilia sana Chadema iliyoongozwa na Twaha Mwaipaya
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa
Kwa muda fulani Dodoma ilijaa bashasha na shangwe nyingi , kiasi cha Wananchi kusahau kwa muda dhiki za Tanzania na kushangilia sana Chadema iliyoongozwa na Twaha Mwaipaya
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa