Dodoma: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ahimiza ulipaji wa kodi kwa hiari

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ,Bw Yusuph Juma Mwenda amewataka watumishi wa Mamlaka hiyo kuendelea kutekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan ya kusimamia ulipaji wa kodi kwa hiari. Ameyasema hayo wakati akifunga kikao cha nne cha Baraza la Wafanyakazi wa TRA jijini Dodoma leo tarehe 04.03.2025.
 
Shida sio kulipa kodi shida ni matumizi sahihi ya kodi zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…