Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kuna vitu mpaka aibu unaona wewe! Useless kabisa!
Baadhi ya viongozi wa dini nchini wamesema kuwa wamebaini viashiri vya uwepo wa namba za simu za nje ya nchi zikihamasisha taarifa potofu kwa lengo la kuwagawa Watanzania, huku wakidai kuwa kuna watu ambao hawaitakii mema Tanzania.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi Novemba 28, 2024 jijini Dodoma na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Karmeli Assembles Of God, Dkt. Evance Chande pamoja na Katibu wa BAKWATA mkoa wa Dodoma, Hussein Kizungu walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari ambapo wameeleza namna Serikali ilivyosimamia mchakato mzima wa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliofanyika jana Novemba 27, 2024.
Aidha, viongozi hao wameeleza kuwa kuna baadhi ya watu watatumiwa kutoa habari za uongo ili kuvuruga amani ya nchi, huku wakiwataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani wakati wakisubiri matokeo ya uchaguzi.
Kuna vitu mpaka aibu unaona wewe! Useless kabisa!
Baadhi ya viongozi wa dini nchini wamesema kuwa wamebaini viashiri vya uwepo wa namba za simu za nje ya nchi zikihamasisha taarifa potofu kwa lengo la kuwagawa Watanzania, huku wakidai kuwa kuna watu ambao hawaitakii mema Tanzania.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi Novemba 28, 2024 jijini Dodoma na Askofu Mkuu wa Makanisa ya Karmeli Assembles Of God, Dkt. Evance Chande pamoja na Katibu wa BAKWATA mkoa wa Dodoma, Hussein Kizungu walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari ambapo wameeleza namna Serikali ilivyosimamia mchakato mzima wa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliofanyika jana Novemba 27, 2024.
Aidha, viongozi hao wameeleza kuwa kuna baadhi ya watu watatumiwa kutoa habari za uongo ili kuvuruga amani ya nchi, huku wakiwataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani wakati wakisubiri matokeo ya uchaguzi.