Myiramba achia pesa hizo hapo Trizaraaa basi mkaliππππ€£Dodoma Dodoma [emoji276]nakuita mara tatu Dodoma mbona unafanya raia wanapauka sana kuanzia mwili hadi mfukoni [emoji102]
Duh, mm basi Nina shida, naenjoy kuishi domKama wewe ni zabibu unaweza kuishi dodoma, sitaisahau 2012-2015 nilinyooka sana ππΌ Hata kupita sitak ni bora nipitie angani nisioone dodoma π
Mzunguko upo wakutosha kuondana na gharama??Fremu za dodoma zinarange 300k -700k,inategemea na ukubwa wa frame,chache sana utapata kwa 200k.
Hali ya hewa ya dodoma ni mbaya, maji yake pia sio mazuri halaf jumlisha ulikuwa umefulia [emoji23][emoji23]Sitaisahau dodoma..nliishi nikiwa nimefulia.nilikua kama kikongwe,nilipaukaa,nilifubaa
miezi miwili nkasema imetosha narudi dar.nliporudi dar siku mbili nkarudi ujanani.
Mkuu tufafanulie maana mi nimeshajiunga,Sasa nashuka hapa ndio naiona comment YakoAtakaye jiunga asije tulaumu hapa! Hawa ni matapeli tena matapeli kwel kwel
Mpuuze amekurupuka kama mlevi,utamtuhumu vipi mtu ni tapeli bila ya ushahidi wowote wa mtu aliyetapeliwa wala bila ya skendo yoyote.Mkuu tufafanulie maana mi nimeshajiunga,Sasa nashuka hapa ndio naiona comment Yako