MGOGO27
JF-Expert Member
- Jan 5, 2016
- 459
- 218
TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO
Chama cha demokrasia na Maendeleo Chama cha demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)wilaya ya Dodoma mjini tunawatangazia
[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
Viongozi/Wapambanaji/Wanachama/Wananchi/Wapenda HAKI wooote
Tunawatangazia ratiba ya kesi zitakazo sikilizwa hapa WILAYANI DODOMA MJINI
ndani ya MWEZI HUU kama ifuatavyo
Tarehe 19-20/09/2016
Kutakuwa na muendelezo wa kesi ya viongozi wa bavicha TAIFA wakiongozwa na mwenyekiti wao
Tarehe 22/09/2016
Kutakuwa na kusomwa kwa kesi ya kamanda wetu John Alex Massao,ile ya makosa ya mtandao
Tarehe 26/09/2016
Kutakuwa na kesi ya Mjumbe wa baraza kuu kamanda KASAMBALA J,kesi yake itasikilizwa
Tarehe 27/09/2016
Kutakuwa na kesi ya Makamanda wetu wapambanaji wasomi wa vyuo vyetu hapa Dodoma CHASSO kesi yao itakuwa inaendelea
TUNAWAOMBA MFIKE MAHAKAMANI BILA KUKOSA KWAKUWA CHADEMA TUNAJIVUNIA NGUVU YA UMMA
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
pamoja na salamu za chama tunaomba mfike kwa wingi
Imetolewa na
Mathias P Raymond
(K/Katibu wa wilaya)
Chama cha demokrasia na Maendeleo Chama cha demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)wilaya ya Dodoma mjini tunawatangazia
[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
Viongozi/Wapambanaji/Wanachama/Wananchi/Wapenda HAKI wooote
Tunawatangazia ratiba ya kesi zitakazo sikilizwa hapa WILAYANI DODOMA MJINI
ndani ya MWEZI HUU kama ifuatavyo
Tarehe 19-20/09/2016
Kutakuwa na muendelezo wa kesi ya viongozi wa bavicha TAIFA wakiongozwa na mwenyekiti wao
Tarehe 22/09/2016
Kutakuwa na kusomwa kwa kesi ya kamanda wetu John Alex Massao,ile ya makosa ya mtandao
Tarehe 26/09/2016
Kutakuwa na kesi ya Mjumbe wa baraza kuu kamanda KASAMBALA J,kesi yake itasikilizwa
Tarehe 27/09/2016
Kutakuwa na kesi ya Makamanda wetu wapambanaji wasomi wa vyuo vyetu hapa Dodoma CHASSO kesi yao itakuwa inaendelea
TUNAWAOMBA MFIKE MAHAKAMANI BILA KUKOSA KWAKUWA CHADEMA TUNAJIVUNIA NGUVU YA UMMA
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
pamoja na salamu za chama tunaomba mfike kwa wingi
Imetolewa na
Mathias P Raymond
(K/Katibu wa wilaya)