Dodoma: Vyumba vya kulala kwa tsh 13,000/=

Dodoma: Vyumba vya kulala kwa tsh 13,000/=

Mwamba1961

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
626
Reaction score
409
Screenshot_20221130-210616.jpg

Habari wasakaji wa ajira,
Kuna CHIMBO LA kulala , maeneo ya Nyerere square, Karibu na msikiti wa Nungwi...

Bei ni 13000/= ila vitanda viko viwili , mkiwa wawili mnachanga 6,500/=......

Location ni hiyo alama ya bluu.
 
Back
Top Bottom