Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 626
- 409
Habari wasakaji wa ajira,
Kuna CHIMBO LA kulala , maeneo ya Nyerere square, Karibu na msikiti wa Nungwi...
Bei ni 13000/= ila vitanda viko viwili , mkiwa wawili mnachanga 6,500/=......
Location ni hiyo alama ya bluu.