Dodoma: Wakazi wa mtaa wa Bochela, Mnyakongo, Salama na Mtube wahofia kukosa makazi, nyumba zaidi ya 300 zazingirwa na Maji

Dodoma: Wakazi wa mtaa wa Bochela, Mnyakongo, Salama na Mtube wahofia kukosa makazi, nyumba zaidi ya 300 zazingirwa na Maji

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakazi wa mtaa wa Bochela, Mnyakongo, Salama na Mtube kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wahofiwa kukosa makazi kutokana na maji kuzingira makazi zaidi ya nyumba mia tatu.

 
Back
Top Bottom