LGE2024 Dodoma: Walioenguliwa CHADEMA wakosa tena sifa!

LGE2024 Dodoma: Walioenguliwa CHADEMA wakosa tena sifa!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Sidhani kama hizo sehemu nyingine mambo yatakuwa tofauti. Serikali (CCM) itasema mchakato ulikuwa wa huru na haki, wamepokea hata mapingamizi tena wakaongeza na siku za kupokea mapingamizi hayo lakini bado walioweka mapingamizi wamekosa fursa, Demokrasia yetu imekomaa kabisa!

Sasa hivi CHADEMA/wapinzani watakuja na lipi?

=====


Uongozi Chadema Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma umeeleza kutoridhishwa na majibu ya rufaa za wagombea wake walioenguliwa kutoka kamati ya rufaa ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hayo yameelezwa leo Novemba 15, 2024 wakati Wakili Deogratius Mahinyila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Dodoma alipozungumza baada ya kupokea majibu hayo.

Mahinyila amesema majibu yaliyotolewa na kamati yameonyesha hakuna mgombea yeyote aliyeshinda rufaa, kwa kuwa mapingamizi kutoka kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi hayakuambatishwa.

Soma Pia:

Villevile, Mahinyila amesema amesikisikitishwa na askari polisi kuzunguka kila eneo walilokuwepo wagombea hao wakati wakisubiria majibu ya rufaa zao.
 
Wakuu ukisikia mambo bado yanapamba moto ndiyo hii sasa!

Walitegemea kupata unafuu baada ya matamko kadhaa lakini imekuwa kama kutwaga maji kwenye kuni. Hii tuseme kama alivyosema Lissu kwamba uchaguzi wa mwaka huu umekwisha na wanapaswa kujipanga upya.
==========================

Uongozi Chadema Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma umeeleza kutoridhishwa na majibu ya rufaa za wagombea wake walioenguliwa kutoka kamati ya rufaa ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hayo yameelezwa leo Novemba 15, 2024 wakati Wakili Deogratius Mahinyila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Dodoma alipozungumza baada ya kupokea majibu hayo.

Mahinyila amesema majibu yaliyotolewa na kamati yameonyesha hakuna mgombea yeyote aliyeshinda rufaa, kwa kuwa mapingamizi kutoka kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi hayakuambatishwa.

Villevile, Mahinyila amesema amesikisikitishwa na askari polisi kuzunguka kila eneo walilokuwepo wagombea hao wakati wakisubiria majibu ya rufaa zao.
 
Wakuu,

Sidhani kama hizo sehemu nyingine mambo yatakuwa tofauti. Serikali (CCM) itasema mchakato ulikuwa wa huru na haki, wamepokea hata mapingamizi tena wakaongeza na siku za kupokea mapingamizi hayo lakini bado walioweka mapingamizi wamekosa fursa, Demokrasia yetu imekomaa kabisa!

Sasa hivi CHADEMA/wapinzani watakuja na lipi?

=====


Uongozi Chadema Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma umeeleza kutoridhishwa na majibu ya rufaa za wagombea wake walioenguliwa kutoka kamati ya rufaa ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hayo yameelezwa leo Novemba 15, 2024 wakati Wakili Deogratius Mahinyila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Dodoma alipozungumza baada ya kupokea majibu hayo.

Mahinyila amesema majibu yaliyotolewa na kamati yameonyesha hakuna mgombea yeyote aliyeshinda rufaa, kwa kuwa mapingamizi kutoka kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi hayakuambatishwa.

Soma Pia:

Villevile, Mahinyila amesema amesikisikitishwa na askari polisi kuzunguka kila eneo walilokuwepo wagombea hao wakati wakisubiria majibu ya rufaa zao.
ifikie mahali wajipange kwajili ya Uchaguzi ujao tu.

wakazi wa weneo husika wameandikishwa kwenye daftari la wakazi na wote wapo kwenye orodha ya wapiga kura, lakini wewe haupo kwenye orodha.

hiyo maana yake wewe si mkazi wa mtaa au kijiji hicho, na kwahivyo huna sifa ya kugombea uongozi kwasababu hautambuliki eneo husika 🐒
 
Watawala wanacheza Na akili Za wadanganyika
 
Wakuu ukisikia mambo bado yanapamba moto ndiyo hii sasa!

Walitegemea kupata unafuu baada ya matamko kadhaa lakini imekuwa kama kutwaga maji kwenye kuni. Hii tuseme kama alivyosema Lissu kwamba uchaguzi wa mwaka huu umekwisha na wanapaswa kujipanga upya.
==========================

Uongozi Chadema Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma umeeleza kutoridhishwa na majibu ya rufaa za wagombea wake walioenguliwa kutoka kamati ya rufaa ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hayo yameelezwa leo Novemba 15, 2024 wakati Wakili Deogratius Mahinyila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa wa Dodoma alipozungumza baada ya kupokea majibu hayo.

Mahinyila amesema majibu yaliyotolewa na kamati yameonyesha hakuna mgombea yeyote aliyeshinda rufaa, kwa kuwa mapingamizi kutoka kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi hayakuambatishwa.

Villevile, Mahinyila amesema amesikisikitishwa na askari polisi kuzunguka kila eneo walilokuwepo wagombea hao wakati wakisubiria majibu ya rufaa zao.
Alafu wanajitapa wao chama kikongwe,wameenea kila mahaali ndani ya nchi hii,hawawaogopi wapinzani wao,duh tuendelee kula nyama tutazikuta chini.
 
Back
Top Bottom