Dodoma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awaambia Mawaziri kuwa CCM itakwenda na mtu mmoja pekee ambaye ni Samia Suluhu Hassan

Namaanisha mwendakuzimu.

Halafu mimi huwa silali na deni, mpumbavu mamako kenge wewe.
Aha kumbe ndo ulivolelewa? Unakaa na hasira na watu? Acha upumbavu hata ukimtukana mama yangu hata mama yako ni mwanamke pia! Unajidharirisha mwenyewe!

Unahangaika na wafu maana hadi leo umawaza wafu! Nakuhakikishia wewe ni mtoto wa kuzimu mda utaongea! Pumbavu sana na kizazi chako kilaaniwe!
 
Shubaamiti.

 
Anataka 15 ya uwaziri mkuu
Nampenda mama lakini inaonekana ccm bado hawajajifunza kitu kwa kifo cha mwendakuzimu.

Mungu ndiye anayejuwa kesho yetu, huenda yeye Majaliwa asifike 2025 au tukafika 2025 Rais akiwa ni Dr Mpango.

Waache hizi kufuru kwa sababu ya kiburi cha uzima.
 
Mitano tena, Kazi iendelee
 
Waziri mkuu unatuangusha sana, kwa nini msijikite na kuleta Maendeleo kwanza alafu ikifika hiyo 2025 ndio muanze kuchaguana kwa kadri ya mnavyopenda?
Chama ni chenu na mna haki ya kumchagua yoyote, hofu ya nini?
 
Ccm mwenyekiti ndio Alpha na Omega, na unafki ndio sifa ya kuwa mwanaccm.
Vicky Kamata Hadi koo lilikauka kumwimbia Magu akiwa hai. Ile kuondoka Tu eti alikuwa katili. Mama atapita na kuwa Rais hata vipindi 4 kama hawa wanafiki CCM wataendelea kutawala.
 
Huyu bwana anasimamia kitumbua chake, sio mbaya, ila tabia ya kupandikiza wabunge majimbo ya wenzako acha, unatuumiza!
 
Ni marehemu kumbe? Siyo hayati?
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo...
Ninafikiri wangetumia demokrasia na mkutano mkuu wa CCM uchague mtu wanayemtaka otherwise kwa njia hii wanajiwekea maadui wenyewe na chama ni rahisi kugawanyika. Ila kwa vile CCM in ile ile mama atapita tu maana uzuri CCM na System ni kitu kimoja.
 
Kutatokea upinzani ndani kwa ndani ambao ni hatari Kwa mama kuliko wa vyama pinzani....naona giza mbele ila Mungu atatuvusha salama. ....
Kwa sisi team jpm huo upinzani wa ndani ndiyo ulio tuletea Mtu kama
JPM tunaungoja kwa hamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…