Dodoma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awaambia Mawaziri kuwa CCM itakwenda na mtu mmoja pekee ambaye ni Samia Suluhu Hassan

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo...
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo...
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo...
Kwa hiyo campaign zimeanza?😃😃
 
PM ana secure nafasi yake nini!? Mana kauli kama izi sio njema kabisa. Kifo cha Mwendazake hakijwafunza kitu wakuu
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, watanzania hawajaelewa kilichompata mpendwa wetu JPM , sasa kampeni uliyoianza ni biashara haramu. Dr Bashiru Ally Kakurwa Ana ujumbe kwa watanzania atautoa 2024
 
Hii ndio kazi anayoiweza, nyie mkampeleka eti ahamasishe Stars....maweeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…