LGE2024 Dodoma: Waziri Ndejembi ajitokeza kupiga kura, ahimiza Wananchi kujitokeza

LGE2024 Dodoma: Waziri Ndejembi ajitokeza kupiga kura, ahimiza Wananchi kujitokeza

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amewataka wananchi wa Chamwino kujitokeza kwa wingi kupiga kura kuchagua viongozi wao ambao watawasaidia katika kuwaletea maendeleo.

Waziri Ndejembi ameyaeleza hayo leo Jumatano Novemba 27, 204 mara baada ya kushiriki zoezi la upigaji kura katika kituo cha Sokoine kijiji cha Chamwino Ikulu wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.

PIA SOMA
- LGE2024 - Waziri Ndejembi ajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Dodoma
 
Back
Top Bottom