Dodoma wing mpo?

Dodoma wing mpo?

Mimi nipo dodoma area c nyuma ya Nan hotel

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Okk prof.elias m nipo mitaa ya area c pia. Nice
 
Last edited by a moderator:
Mimi kwa sasa nipo area d, nahitaji kupata eneo lenye chanzo cha maji kwa ajili ya kupanda matikiti ili kuongeza kipato kwa hapa dodoma?
 
Upo sehemu gani wewe mtoto .. anyway bila shaka upo milembe day au boarding?
🤣🤣🤣 Boarding na huu ndo muda nilioachiwa kutumia vitu vya umeme kama simu.

Vipi tupeane vikojoleo au!? 😃😛😛
 
Back
Top Bottom