Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kwa wale waliobahatika kufika Windhoek, kuanzia ukame, tambarare na hali ya hewa vinalingana kabisa na Dodoma, hadi ukavuukavu.

Nilipita Dodoma last week kuna maeneo kama unaelekea udom, hazina hadi kule makao makuu ya mahakama, kuna vigorofa vingi vinaibuka na kuna uwezekano pakafanana au hata kuipita windhoek ndani ya miaka 30 ijayo.

Hii ni kwasababu Dodoma kutakuwa na watu wengi zaidi kwasababu ni katikati ya nchi na wafanyabiashara na mashirika mengi yatahamia pale. Dodoma imepangika vizuri sana, ni suala la kuweka barabara tu ila mipango miji wamejitahidi. shida ni maji, nilisikia kama wataunganisha yale yanatoka ziwa victoria, wakifanikiwa hili kazi imeisha.
 
Windhoek.jpg
 
Mji upo vizuri haswa kwenye upangiliaji wa majengo
halafu wengi wasichojua, Dodoma ina population kubwa kuliko Windhoek. mwaka 2020 windhoek ilikuwa na pupulation ya 431,000 wakati mwaka 2022 Dodoma imekuwa na watu 765,000 (toka laki nne hadi laki saba, au tuseme basi mwaka 2021 windhoek waliongezeka wakafika walau 500,000 bado kuna laki mbili nzima chenji inabaki kwa pupulation ya Dodoma. kwahiyo population plus serikali kuhamia, plus dodoma ni katikati wasafiri wengi hupita hapo kwenda kwengine plus biashara, Dodoma ikijengwa vyema itakuwa bora kuliko windhoed. watu wajenge tu magorofa.

hako kamji ka windhoek ukikachukua unaona kabisa kamejengwa eneo dogo sana ndo kuna magorofa, ukilinganisha na Magufuli city inavyojenga mji wa kiserikali kule, nadhani mniaka 5 mingi, dodoma itakuwa mbali sana kuliko windhoek manake mji wa kiserikali kule magorofa mengi sana yanajengwa na pamepangika kuliko hata windhoek.
 
of course jiwe alikuwa na mawazo mazuri sana kikiwa hakijampanda. shida moja ya Dodoma na TAnzania nzima ni uchafu. niliona leo Yanga walivyokuwa wanashangaashangaa mitaani Kigali Rwanda, walivyo wasafi. Dodoma inatakiwa kuwa safi, kuwe na gardens na kijani kibichi kila sehemu, pembezoni mwa barabara hadi majumbani. utakuwa mji mzuri sana.
 
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki
 
Jiji la Abuja huko Nigeria..

Ramani ya Mji huu inasadikika ilichukuliwa kwenye ramani ya Ujenzi wa Mji mkuu wa Tanzania-Dodoma lakini wakati CDA wakibaki na makaratasi tu miaka nenda rudi mpaka Magufuli alipokuja kuivunja CDA, Nigeria wao walioomba hii Ramani na kuifanyia kazi Taifa ambalo lilikumbwa na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe,Mapinduzi ya Kijeshi ya Mara kwa mara, na changamoto chungumzima lakin ndio Taifa lenye Uchumi mkubwa zaidi Afrika.

Nigeria inasifiwa kwakua uchumi wake haukuhusisha watu weupe kama ilovyo Afrika Kusini,Bali maendeleo yote ya Nigeria yametokana na wao wenyewe (weusi)

Hii ndio sababu inayowaponza kwani mataifa ya Magharibi yanaumia kuona taifa ambalo halina mkoko wa Mzungu inakuaje liwe na Uchumi mkubwa kuizidi Afrika Kusini ambayo Uchumi wake umekolezwa ,zadi na uwepo wa Makaburu wazungu wahamiaji kutoka Uholanzi kabla ya Ukoloni?

Makaburu waliopo Afrika Kusini ni zao la wazungu ambao walitoka Uholanzi karne nyingi kwa nia ya kwenda India kutafuta maisha kwa kuzunguka bara la Afrika kupitia Kusini lakini walipofika Afrika Kusini wakaona walichokuwa wanakifata India kipo pale wakapiga kambi na kulowea hapo,

Hata ilipofika kipindi cha Ukoloni Waingereza walipofika pale wakawakuta watu weupe na iliwapa ugumu sana kuitawala Afrika Kusini kwakua wale weupe hawakukubali kirahisi ndipo Waingereza wakawahadaa waafrika kuwa waholanzi wale wanawanyonya wao wamekuja kuwasaidia ndipo walipowashinda makaburu kwa kushirikiana na mtu mweusi, jambo hilo liliongeza chuki kwa Waholanzi kwani awali waliishi na wenyeji vizuri lakini wakagombanishwa ndipo uhasama ukaanza ,hata baada ya Uhuru Makaburu waliposhika nchi wakaendeleza visasi ndipo Waafrika walipokoma sasa kichaa kapewa rungu.

Makaburu wakatengwa na Ulimwengu kwa kuwanyanyasa weusi (wenyeji) kama Ilivyo Irani na Korea Kaskazini,ukitengwa unajitahidi ujitegemee kwa kila kitu,wakaanza kutengeneza Uchumi wao makaburu ili wawe imara wasitishwe au kuvamiwa wakaunda mpaka silaha za nyuklia,
 
Dodoma now ipo vizuri Sana kwa nchi yetu ingetengeneza miji kama ya dodoma Kila Kanda maana Kila Kanda Kuna maeneo yenye tambarare ya kutosha mfano Kanda ya ziwa Kuna kahama ,Kanda ya nyanda za juu kusini Kuna makambako Kanda ya kaskazin Kuna segera Tanga ,kusini Kuna masasi nk hizi sehemu wanauwezo wa kuzitengeneza kama ilivyo dodoma now wakajikita kibiashara zaidi maana ni centre zinazounganisha mikoa iliyokanda husika
 
Back
Top Bottom