Dodoso: Bei mpya ya korosho Ruangwa

Dodoso: Bei mpya ya korosho Ruangwa

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Habari wakuu,

Nimepata link ya jamaa wa Mtwara anadai korosho zinanunuliwa 1000 kwa wakulima na kwenda kuuzwa 1900 kwenye maghala.

Hii ni Fursa wakuu natafuta muwekezaji mmoja tu chapchap tujiridhishe na hizi details tukapige hela.

Karibuni kwenye mjadala

Cc. Sir midwabada
 
Nakushauri huo utafiti wako usiishie hapo endelea kufuatilia kwa uzuri utakuja kunishukur
Tushirikiane mkuu unachokijua na ninachokijua. Tunashare idea tunapata jibu.. share na sisi hata uzoefu wako wa mwaka Jana.

Don't complicate it, funguka mkuu.
 
Kijiji gani kimoja kwa jina wanakouza kilo buku kaka?
 
Kilo 1000, utalipa wakusanyaji kila kilo 200, usafirishaji, mifuko bado ushuru utalipa 175 kwa kilo, piga hesabu mkuu kama utapata faida ingia mzigoni.

Uzuri kama una mtaji mkubwa na faida itakuwa kubwa.
 
Hapa nilipo mpakani mwa mkoa wa Ruvuma na Mtwara, korosho kangomba 1,200 mpaka 1,300. Kwenye maghala unakouzia bei zinacheza siyo zaidi ya 1,950 ukitoa makato yote ya halmashauri pamoja na maghala (250-300) utapokea 1,700 - 1,750 kwahiyo faida kwa kila kG1 ni 400-450, Kama utanunua mwenyewe kwa mkulima faida ni 500-550, kwasababu ukinunu kwa kangomba na ukauza ghalani (kwenye mzani) kilo zinaongezeka zaidi ya zile ulizopima kwa kangomba.

Vilevile ili uzipate korosho kwa wingi na kwa urahisi inabidi uwatafuate watu wazoefu wa hizo kazi katika kijiji husika wakununulie korosho vinginevyo huwezi pata korosho za kutosha kwa muda muafaka kama ni mgeni labda uje na utofauti katika bei.
 
Sio mbaya, kwahiyo ukipeleka huko ghalani ni una lipwa hapo hapo ama ni kusubiri tena?
Hapa nilipo mpakani mwa mkoa wa Ruvuma na mtwara, korosho kangomba 1,200 mpaka 1,300. kwenye maghala unakouzia bei zinacheza siyo zaidi ya 1,950 ukitoa makato yote ya halmashauli pamoja na maghala (250-300) utapokea 1,700 - 1,750 kwaiyo faida kwa kila kG1 ni 400-450, Kama utanunua mwenyewe kwa mkulima faida ni 500-550, kwasababu ukinunu kwa kangomba na ukauza ghalani (kwenye mzani) kilo zinaongezeka zaidi ya zile ulizopima kwa kangomba.

Vilevile ili uzipate korosho kwa wingi na kwa urahisi inabidi uwatafuate watu wazoefu wa hizo kazi katika kijiji husika wakununulie korosho vinginevyo huwezi pata korosho za kutosha kwa muda muafaka kama ni mgeni labda uje na utofauti katika bei.
 
Kilo 1000,utalipa wakusanyaji kila kilo 200,usafirishaji,mifuko bado ushuru utalipa 175 kwa kilo,piga hesabu mkuu kama utapata faida ingia mzigoni.

Uzuri kama una mtaji mkubwa na faida itakua kubwa.
Gunia za kilo 100 zikowa nane Tisa si unazichimbia chini ya magunia ya maembe
 
Hapa nilipo mpakani mwa mkoa wa Ruvuma na mtwara, korosho kangomba 1,200 mpaka 1,300. kwenye maghala unakouzia bei zinacheza siyo zaidi ya 1,950 ukitoa makato yote ya halmashauli pamoja na maghala (250-300) utapokea 1,700 - 1,750 kwaiyo faida kwa kila kG1 ni 400-450, Kama utanunua mwenyewe kwa mkulima faida ni 500-550, kwasababu ukinunu kwa kangomba na ukauza ghalani (kwenye mzani) kilo zinaongezeka zaidi ya zile ulizopima kwa kangomba.

Vilevile ili uzipate korosho kwa wingi na kwa urahisi inabidi uwatafuate watu wazoefu wa hizo kazi katika kijiji husika wakununulie korosho vinginevyo huwezi pata korosho za kutosha kwa muda muafaka kama ni mgeni labda uje na utofauti katika bei.
Good testimonials.
Hapo ulipo, kwa Bei ya mwaka Jana iligota kias gan kipindi korosho zinakaribia kukata kabisa mashambani
 
Good testimonials.
Hapo ulipo, kwa Bei ya mwaka Jana iligota kias gan kipindi korosho zinakaribia kukata kabisa mashambani
Kwa mwaka jana bei za mwisho mwisho kabisa kangomba 1,000 na mnadani ziliuzwa 1500-1600. Hizo ndizo bei za December mwishoni hadi January, Bei za kufungia msimu.
 
Kwa mwaka jana bei za mwisho mwisho kabisa kangomba 1,000 na mnadani ziliuzwa 1500-1600. Hizo ndizo bei za December mwishoni hadi January, Bei za kufungia msimu.
So upepo wa mwaka huu unaonekana umekAA KIhasara sana kama msimu ndo unaanza na Bei ya kulalia. Hawa broker ni wahindi au?
 
Back
Top Bottom