Does age matters in relationships/love/marriage?


thanks much, but still in confusion, mada hii ilijaribu kujadiliwa na watu wengi and most of them wanasema the same age sio nzuri simply kwa sababu mwanamke huwa anachoka haraka tofauti na mwanaume, so majority wanapendaa kuoa wanawake wenye umri mdogo ili hata inapofika umri wa mwanamke kuchoka mwanaume nae awe anachoka

nakubaliana na wewe kwamba the only thing that matters is love. ila biological reasons nazo the matters
 
yes they say but on the other side age matters, huwezi ukasema binti wa miaka 25 ameolewa na zee la miaka 60, does it make sense, huyo mzee atakua na uwezo wa kumsatsfy huyo binti? probably atakua anasaidiwa na vijana ambao damu inachemka

asikwambie mtu age aint nothn bt a number.
 
naomba kujuzwa kama umri au age different ni kigezo muhimu katika maisha ya mahusiano au ndoa and if age matters ni miaka mingapi actually mwanaume na mwanamke wanatakiwa kupishana? what about the same age? others says age is just a number

age is not a number.........it defines hormonal imbalances.........................na mnapotofautiana sana ni vigumu kwenda pamoja.......................ingawaje, there are few golden exceptions to this general rule of thumb...............
 
Wife wangu kanizidi miaka kumi lakini mahaba kwa kwenda mbele, siku zinavyosonga ndio mahaba nayo yazidi kukolea. Umri na mahaba wapi na wapi! Havina uhusiano kabisa!
 
Mwanaume as a Kichwa cha Familia kama kuna kosa inabidi sometimes upige mkwara ili kuweka mambo sawa.
Sasa kama unampiga mkwara mkeo halafu ukiangalia age kama ya Maza wako inakua nishai kodogo.
Yaani hata yeye anaweza kua anakusikiliza tu unavyopiga mkwara halafu kimoyomoyo anajisemea tu "huyu Bw. Mdogo vipi huyu!""
 
Sasa kuna haja tena ya kuolewa kama uume bandia pia wawaridhisha zaidi???

swali zuri - but maybe ni bora zaidi kuwa na mume mwenza "vibrator" kuliko mume mwenza real
 
Mi nadhani age sio ishu sana ila sio mtofautiane sana yani zaidi ya ten years! Mana kuna kuchoka kweli umri ukisogea hata kama
mnapendana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…