Atlantis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 383
- 513
habari ndugu zangu, nimemaliza chuo kikuu mzumbe so niko ktk michakato ya kutafuta scholarship ulaya, hasa Norway ma France. naomba msaada kwa yeyote mwenye knowledge na hivi vitu, je GPA inachukua nafasi gani katika michakato hii? mimi nina GPA 4.5 (BBA - PROCUREMENT AND LOGISTICS MGT.)