Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Mara dogo katimba ofisini kamkuta mwalimu wa darasa.
Dogo: mwalimu mi nataka mnipandishe darasa hila la tatu halinifai.
Ticha:basi ngoja niongee na mwalimu mkuu.
Mkuu: nakuuliza maswali ukifauru nakupandisha darasa.
Swali:kwenye ndege kuna tifali 20 ukitupa nje tofali moja yatabaki mangapi?
Dogo: yatabaki 19.
Mkuu:nipe kanuni ya kuweka nyani kwenye friji.
Dogo: unafungua mlango unamweka nyani kisha unafunga mlango.
Mkuu.:nipe kanuni ya kumweka tembo kwenye friji.
Dogo: unafungua mlango unamtoa nyani unamwingiza tembo unafunga mlango:
Mkuu: kuna sherehe ya kuzaliwa kwa simba wanyama wote walihudhulia kasoro mmoja ni yupi na kwanini?
Dogo: ni tembo kwasababu tulimfungia kwenye friji.
Mkuu: kwenye mto wenye mamba wengi bibi mmoja alivuka bila matatizo kwanini?
Dogo: kwasababu wanyama wote walikua kwenye sherehe ya simba.
Mkuu: lakini bibi huyo alipo maliza tu kuvuka mto mbele akafa nani alimuua?
Dogo:lile tofali tulilondosha.
Mkuu:mpeleke darasa la saba..
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Dogo: mwalimu mi nataka mnipandishe darasa hila la tatu halinifai.
Ticha:basi ngoja niongee na mwalimu mkuu.
Mkuu: nakuuliza maswali ukifauru nakupandisha darasa.
Swali:kwenye ndege kuna tifali 20 ukitupa nje tofali moja yatabaki mangapi?
Dogo: yatabaki 19.
Mkuu:nipe kanuni ya kuweka nyani kwenye friji.
Dogo: unafungua mlango unamweka nyani kisha unafunga mlango.
Mkuu.:nipe kanuni ya kumweka tembo kwenye friji.
Dogo: unafungua mlango unamtoa nyani unamwingiza tembo unafunga mlango:
Mkuu: kuna sherehe ya kuzaliwa kwa simba wanyama wote walihudhulia kasoro mmoja ni yupi na kwanini?
Dogo: ni tembo kwasababu tulimfungia kwenye friji.
Mkuu: kwenye mto wenye mamba wengi bibi mmoja alivuka bila matatizo kwanini?
Dogo: kwasababu wanyama wote walikua kwenye sherehe ya simba.
Mkuu: lakini bibi huyo alipo maliza tu kuvuka mto mbele akafa nani alimuua?
Dogo:lile tofali tulilondosha.
Mkuu:mpeleke darasa la saba..
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]