stranger man
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 420
- 524
Wadau nina rafiki yangu hapa tunasota nae kitaa ye ana miaka 3 ana mdogo wake yupo form three mchepuo wa art leo amegoma kwenda shule amemwambia kuwa kama kaka yake amemaliza chuo kikuu akiwa anapata division one kuanzia form 4 mpaka six na chuo kafaulu vizuri.
Lakini ameishia kumuamsha dogo asubuhi kwenda shule akiwa hana kazi wakati yeye dogo akiwa huwezo wa kufaulu hana ameamua akache shule aanze kujiajili.
Lakini ameishia kumuamsha dogo asubuhi kwenda shule akiwa hana kazi wakati yeye dogo akiwa huwezo wa kufaulu hana ameamua akache shule aanze kujiajili.