stranger man
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 420
- 524
poa mwambie aendelee kukaa nyumbani asubiri kuolewa,shule haina dili kabisaawadau nina rafiki yangu hapa tunasota nae kitaa ye ana miaka 3 ana mdogo wake yupo form three mchepuo wa art leo amegoma kwenda shule amemwambia kuwa kama kaka yake amemaliza chuo kikuu akiwa anapata division one kuanzia form 4 mpaka six na chuo kafaulu vizuri lakin ameishia kumuamsha dogo asubuhi kwenda shule akiwa hana kazi wakati yeye dogo akiwa huwezo wa kufaulu hana ameamua akache shule aanze kujiajili
wadau nina rafiki yangu hapa tunasota nae kitaa ye ana miaka 3 ana mdogo wake yupo form three mchepuo wa art leo amegoma kwenda shule amemwambia kuwa kama kaka yake amemaliza chuo kikuu akiwa anapata division one kuanzia form 4 mpaka six na chuo kafaulu vizuri.
Llakin ameishia kumuamsha dogo asubuhi kwenda shule akiwa hana kazi wakati yeye dogo akiwa huwezo wa kufaulu hana ameamua akache shule aanze kujiajili.
Akili za kuambiwa, changanya na zako.mwambie amwache aendelee tu kulala !
something blind bind in ur mind make it kind!!!
Wasomi wenyewe washatosha tayari, hayo madegree ya arts/social sciences yana kazi gani tena kwenye soko la ajira?
Wasomi wenyewe washatosha tayari, hayo madegree ya arts/social sciences yana kazi gani tena kwenye soko la ajira?
Sasa hivi mhitimu wa veta ana thamani kuliko mwenye degree
wadau nina rafiki yangu hapa tunasota nae kitaa ye ana miaka 3 ana mdogo wake yupo form three mchepuo wa art leo amegoma kwenda shule amemwambia kuwa kama kaka yake amemaliza chuo kikuu akiwa anapata division one kuanzia form 4 mpaka six na chuo kafaulu vizuri.
Llakin ameishia kumuamsha dogo asubuhi kwenda shule akiwa hana kazi wakati yeye dogo akiwa huwezo wa kufaulu hana ameamua akache shule aanze kujiajili.