Dogo analia baada ya kuikosa Telecommunication Eng.,Je bado ina soko la ajira zuri ?

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
Mdogo wangu (binamu) anasema bro. mimi nilitaka kusoma Telecommunication Eng., Kwa mimi nijuavyo course hiyo tayari ishakua kama computer science au it ,yaani wote wana fursa sawa kwenye ajira.Je zile course zote zilizokua na majina kama accounting, law ,telecomm ,computer eng, n.k bado ni vilevile?
nawasilisha
 
Suala la ajira ni connexn alihusiani na kozi uliyosoma.
 
asome kwanza ajira baadae,inaweza kuwa na soko zuri kwa sasa lakini pindi atakapomaliza ikawa haina soko zuri la ajira hivyo cha kuzingatia ni kupiga kitabu kwa vile hakuna elimu mbovu.
 
Kwan ukisema ni wew utafungwa mkuu!??? Si lazima umsingizie dogo!!
 
Mwambie aache mbwembwe za ki form 6 kuwa ooohhh "tele" ndo mpango mara kufunga minara ya voda , tgo, airtel, chamsingi aende shule akapige buku la kozi anaypipenda kisha ishu ya ajira tutacheki mbele kwa mbele pindi akimaliza coz kibongo bongo kozi uliyosomea chuo na ajira ni two poles that repels one another.
 
civil.............
kwanza mpe hongera yake kwangu mimi binafsi huu ni mtazamo wangu binafsi..kwa engineering hasa kwetu THIRD WORLD ambapo technology iko slow kama kinyonga KOZI kama CIVIL , ELECTRICAL , MECHANICAL ENGINEERING ndio kozi ambazo kama anafikiria kuhusu soko la ajira hizi haziwezi chuja kwa muda mrefu , kuhusu kujiari CIVIL kama ni mtu wa kustruggle asitie shaka ..
TELECOMS ni kozi nzuri sana na VIJANA wengi waliofaulu wanaipenda na walio wengi wanakwenda kwa MKUMBO ila mimi niwe honest na kama kuna watu waliosoma TELECOMS 2008-2012 wanajua changamoto walizokutana nazo kuanzia field mpaka mtaani...
kama concern yake ni AJIRA mwambie akasome hiyo kozi akikosa kazi akimaliza DEGREE YA CIVIL tutatafutane hapa...
ingekuwa analia kukosa TELECOMS kapata COMPUTER sasa....
 
Tuwekeeni link bas jamani....tcu haifungukii duuh
 
vp MKUU kwani tcu teyari washaeka vitu hazaran, kama teyari naomba tufamishane wakuu🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…