Mdogo wetu wa kike ambaye amemaliza form four... going to form five anataka kua pilot. Tuko against the idea but dogo yuko adamant. What I know for sure ni kwamba anapenda sana hesabu. Nimemshauri asome PCM aende engineering... Au PCB asome medicine. Sio mbaya akapata ushauri na huku. Fani ya upilot ni nzuri... Inalipa? Faida na hasara ya kusomea hio fani tafadhali.
Kwa nilivyosikia, unaweza ukasomea u pilot halafu mwisho wa siku ukapata shida ya macho, hapo ndo inakuwa mwisho wa kuwa rubani
Mdogo wetu wa kike ambaye amemaliza form four... going to form five anataka kua pilot. Tuko against the idea but dogo yuko adamant. What I know for sure ni kwamba anapenda sana hesabu. Nimemshauri asome PCM aende engineering... Au PCB asome medicine. Sio mbaya akapata ushauri na huku. Fani ya upilot ni nzuri... Inalipa? Faida na hasara ya kusomea hio fani tafadhali.
Si nimesema nilivyosikia, au hujaelewa?elezea kiundani mkuu.. hizo ni safety and security matters. macho hadi kuwa na deffect lazima kuna vitu vinachangia..
toa reference za watu ambao wameshakuwa na matatizo ya macho.. otherwise unatutia ujinga.
those are gossips.Si nimesema nilivyosikia, au hujaelewa?