Dogo aslay hana tuzo lolote la kili

Dogo aslay hana tuzo lolote la kili

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Dah aslay itabidi aende kwa mama kuwaremelea kili awards maana katika orodha zote nilizozipitia za kupiga kura za kili awards 2012 kwa kweli inasikitisha sana dogo aslay hayupo hata tuzo moja jaaa!!!! Inaniuma japokuwa aslay ni dogo
 
Dogo anabana sauti ka demu bana,mi mara ya kwanza nilidhani ni ray c.
 
mi ule wimbo naupenda..but i wish ungeimbwa na mtu strong zaidi...umeimbwa legelege sana..inshort haufai kuwa kwenye kili awards full stop!!!!!!!!!!

mwambie amtafute Jafaray
 
Bado sana kwa sababu ndio kwanza anaanza. Inabidi akaze buti ili safari ijayo aweze kuingia katika kinyang'anyiro cha KILI MUSIC AWARDS.
 
Back
Top Bottom