dogo halali usiku

nashkuru mkuu, ntafanya utaratibu wa kubadili mlo hasa wa jioni
 
ukitoa maziwa anakula cerelac, uji na ndiz huwa zinasagwa kwa blender,
akishaoga asubuhi hupewa chakula na kulazwa so kama akiamka ni kwa kubadili dieper au usingiz umeisha
Jaribu kupunguza masaa anayolala mchana,kisha apewe chakula kabla hajalala yaani time za jioni!
Jaribu kumfanyia babymassage!Kuna njia maalum za kumkanda mtoto kwasababu misuli yake haijakomaa!
 
madogo kama hao uheheni huwa wanapigwa kitu ulanzi. Mnakutana asubuhi. Utaipenda
 
Jaribu kupunguza masaa anayolala mchana,kisha apewe chakula kabla hajalala yaani time za jioni!
Jaribu kumfanyia babymassage!Kuna njia maalum za kumkanda mtoto kwasababu misuli yake haijakomaa!

hilo somo ndo silijui ntajaribu kugoogle nipate darasa
 
kaka kwa mtazamo wako vp hashibi
eheheee mbona tunategana aisee! aiyaaa naomba nimbebe eeeh!
mwaaa mtoto mtamu balaa!
am speechless! ngoja nizae aiseee
love u cutie!!!!!!!!
 
madogo kama hao uheheni huwa wanapigwa kitu ulanzi. Mnakutana asubuhi. Utaipenda
wanasema pombe ni nzuri sana kwa watoto inasaidia digestion iende vizuri! hapa wengi watanichapa ila ndo hivo ..ukimpiga mtoto vijiko kadhaa vya lager hadi asubui...cc gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
eheheee mbona tunategana aisee! aiyaaa naomba nimbebe eeeh!
mwaaa mtoto mtamu balaa!
am speechless! ngoja nizae aiseee
love u cutie!!!!!!!!

kama yawezekana rukhsa, asante
 
wanasema pombe ni nzuri sana kwa watoto inasaidia digestion iende vizuri! hapa wengi watanichapa ila ndo hivo ..ukimpiga mtoto vijiko kadhaa vya lager hadi asubui...cc gfsonwin

hata iwe nzuri kiaje siwezi thubutu hiyo mambo
 
Last edited by a moderator:
hashibi vizuri huyo
mpige ugali wa kutosha...atalala hoi na kujamba usiku kucha

This might be very true, mtoto wangu wa kwanza alisumbua sana, bibi yake akasema tumtengenezee uji laini (wakati huo ana wiki mbili tu!). Baada ya hapo alianza kulala fofofo!

Smile ukija kuwa na mtoto utakuwa mama wa maana sana, tatizo vijana hawaoni wadada wanaofaa kuwa wake.

Wale wanaotafuta wake humu, Smile yumo humu, jamani!
 
ahaaa mi napenda sana watoto dear ...nimelea watoto wengi pia wa masister mabrother...marafiki...nawaelewa kidogo
ila hilo halinifanyi kuwa wife material loh!
 

ntazingatia hilo la mlo hasa wa jioni
 
ahaaa mi napenda sana watoto dear ...nimelea watoto wengi pia wa masister mabrother...marafiki...nawaelewa kidogo
ila hilo halinifanyi kuwa wife material loh!

chukua sifa zako mtoto ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…