Dogo Janja anaposema Msomi Nikki wa Pili.

Mkwala

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,164
Reaction score
1,243
Wahabari,Msanii Dogo Janja kwenye ngoma yake ya "my life" kuna mstari anaimba "Msomi Nikki wa Pili mii niliachaga Makongo".Wanajukwaa naomba kujua kisomo(fani aliyojikita ) cha Nikki wa Pili nasikia anachukua PhD yake.
 
Yupo udsm anafanya phd ya masuala ya jamii pale IDS Pia ni member Wa council ktk chuo kimoja cha diploma hapa mjini so ni msomi na janja hajam compare na mwingine.

Mfano mi pia ni msomi lakini sio kiwango cha Nikki yeye ana PhD mi sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…