Dogo janja anasoma saa ngapi?

kwann nasri wa arsenal kasoma?
 
Dogo janja, tafuta elimu kama kipaji kipo hata ukiwa mtu mzima utaendeleza tu
 
tatizo watu wamekariri elimu na idadi ya madarasa.sasa asiposoma Business management atauzaje kazi zake.ndo maana wanaishia kuibiwa alafu wanapiga kelele .wanafanya kazi bila contract,wana sign master copy hawajui zitauzwa ngapi.miaka 2 tu dogo atakuwa amefulia.
 
Ngoja kwanza nile kitu cha Olkokola hapa Mianzi kwa ludaa then midamida ntashuka pande za ground
mkuu na wewee ni msanii nini?unaona kulaa kitu ujanjaaa...na kutaja majina ya mapusha wako room sio,sasaa tutamfatilia huyo ludaa anae aribu vijana na watoto wetu kwa kuwauziaa madawa ya kulevia[bange],akunaa short katii ya maisha..dongo janjaa anavutaa ndumu sanaaa,na hao watu wazima mabwenge kina madee wanatafuna helaa ya dogo tu.ingekuwa mwanangu ninge mbanaa asome kwanza mziki baadae
 
Kama ana akili anaweza kupangilia ratiba, akasoma na kufanya mziki vile vile. Ila wasiwasi wangu ni kama ana akili ya kubalance hivyo vitu viwili, bila kimoja kingine
 
kwann nasri wa arsenal kasoma?

Kwa hiyo unamlinganisha na huyo dogo siyo?haya bana we mdanyanye tu mameneja wenyewe kina Ruge sijui kama atatoboa?
 
hapa shule ndo hakuna tena si ametumwa na mama kutafuta mihela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…