Dogo janja atimuliwa kwa Ostadh Juma na Musoma

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Yule dogo muoza meno toka atown,katimuliwa toka mtanashati baada ya kukacha shule na kuondoka kwenye getho alilopangiwa. Ni mara ya pili kwa dogo kutoswa baada ya kutoswa na madee mwaka jana.
 
Anakaribia kuvuta unga kama hajaanza..
 
Aende chuga akanywe chai na karoti na kula gomba
 
Katakua kanakula poda kale nako. Mbona mwenzie Yule wa TMK katulia.
 
Yule dogo muoza meno toka atown,katimuliwa toka mtanashati baada ya kukacha shule na kuondoka kwenye getho alilopangiwa. Ni mara ya pili kwa dogo kutoswa baada ya kutoswa na madee mwaka jana.
umejuaje kaoza meno,acha ushabiki wa kipumb..avu
 
Alimpa nauli 90,000 ya kurudia Arusha. Dogo hakuna atakayemwamini tena.
 
umejuaje kaoza meno,acha ushabiki wa kipumb..avu

ushabiki namshabikia nani? Kwani meno yamejificha? Nikikujibu jinsi nilvyojua kuwa kaoza meno utafuta ulchoandka hapo juu?
 
dogo inabidi apewe ushauri ikiwezekana apelekwe kwa wanasaikolojia wamsaidie kwasababu yeye kwa sasa haoni umuhimu wa elimu ila kuna wakati utafika ataihitaji elimu halafu umri utakua haumruhusu, pia aelewe kuwa huwezi kuhit through out the time, hivyo akazane na shule na aache ujanja wa kishamba nawa kitoto.
 
Dogo ajitahidi kusoma game. Sema kuna wengine migongo yao inaunguza hata umbebe na mbeleko gani. Cha msingi sasa ni a....

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Mi nawashangaa mameneja hawa sijui vipi,badala ya kutengeneza muziki na kufanya promo wapige bingo,wanampeleka shule akasome sayansikimu.Kwanini waqsiwapeleke shule watoto wa wajomba zao?Au wanajipendekeza tuwaone watu wa maana saaana,wao wenyewe hawajasoma kwanini wamlazimishe mwenzao kwenda shule. Mbona wakina Justin Bieber hawakupelekwa shule na mameneja.Hawa watu hawajui kazi,wanatafuta lawama tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…