yusuph hasheem
Member
- Jul 5, 2017
- 57
- 52
Sasa ndio mtoto acheze na kisu...kikimkata je?ila uwoya ni kisu kinoma..au sio?
Tamu chungu ya huu msemo ni pale unapo mfumania mwanao wa kike na baba mtu mzima halafu una baini na mimba amesha mpatia....
Acha dogo agonge bana. utaiachajeSasa ndio mtoto acheze na kisu...kikimkata je?
Specifically...fid q.Hivi Uwoya si ndio aliesema anavutiwa na wanaume wenye sura ngumu?
Binafisi namzimia sana Irene, sema dogo kawahi!Hivi Uwoya si ndio aliesema anavutiwa na wanaume wenye sura ngumu?
Hata Mimi Uwoya nampenda , yupo vizuri. Beautifulness lies in the eyes of ...
Sent using Jamii Forums mobile app