Dogo mmoja baada ya kurudi shule akawa anaongea na baba yake

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2016
Posts
202
Reaction score
145
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya.

ungekua wewe ungemjibu nini?
 
dogo apelekwe mbeya day tu au atafutwe msigwa awe ticha wa tuition
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…