Pilipilihoho JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 202 Reaction score 145 Oct 18, 2016 #1 DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo? DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya. ungekua wewe ungemjibu nini?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo? DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya. ungekua wewe ungemjibu nini?
Dunya JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 291 Reaction score 162 Oct 18, 2016 #2 Ayseee. Jipu ilo
mimi43 JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 410 Reaction score 422 Oct 18, 2016 #3 dogo apelekwe mbeya day tu au atafutwe msigwa awe ticha wa tuition