Dogo na mama yake

Dogo na mama yake

jangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
1,583
Reaction score
2,365
DOGO: Eti mama malaika huwa wanapaa?
MAMA: Ndio malaika wanapaa, kwanini unauliza?
DOGO:Baba alimuita dada Malaika, dada atapaa?
MAMA: Ndio atapaa leoleo kurudi kijijini kwao
********************************************
 
Back
Top Bottom