Dogo namwona hayupo Serious na Maisha kabisa. Nataka nimfukuze Home

Dogo namwona hayupo Serious na Maisha kabisa. Nataka nimfukuze Home

Joined
Jun 17, 2023
Posts
93
Reaction score
239
Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje?

Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo Mwaka jana lakini sioni kama yupo serious na maisha. Mimi hali yangu ipo tenge... Siwezi nyoosha nguo. Nanyosha ili iweje umeme wenyewe nao siku hizi haukai kabisa. Units zinakimbia kinyama.

Dogo hajifunzi maisha. Haoni mimi natoka home hata nguo sijanyoosha. Haoni kama nabana matumizi. Halafu ninyooshe ili iweje? Mafuta mimi napata ya tsh 500 tu. Yeye anatumia Nivea tsh 12,000 anatumia utuli. Mimi situmii hizo kitu.

Nakaona ka bwana mdogo kanajiangalia angalia kwenye kioo muda wote. Nataka nikang'oe kile kioo. Kanapaswa kuwa serious na maisha. Mtoto wa kiume na utuli wapi na wapi? Mi namtizama tu. Hajayajua maisha nataka aondoke akajifunze maisha huko mtaani.
 
Mtafutie kazi ya kufanya badala ya kumsema hapa.

Wanasema mfundishe mtu kuvua samaki badala ya kumpa samaki.

Ila hakikisha samaki wawe ni halali, isije kuwa ni shughuli ambazo zinavunja sheria ya Nchi.
 
Jichunguze wewe haupo Sawa Una msongo WA MAWAZO unajisumbua,relax enjoy Maisha Mzee muache dogo awe smart jaribu kua nae karibu utanielewa Kwa nini anaish ivyo yeye Hana stress kama wewe yeye ameamua kuishi Maisha hayo Kwa wakati huu lakini hata yeye ana ndogo zake...
 
kwani sikamaliza chuo.mtafutie kazi kulingana na alicho somea chuo au unataka akalime?
 
Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje?

Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo Mwaka jana lakini sioni kama yupo serious na maisha. Mimi hali yangu ipo tenge... Siwezi nyoosha nguo. Nanyosha ili iweje umeme wenyewe nao siku hizi haukai kabisa. Units zinakimbia kinyama.

Dogo hajifunzi maisha. Haoni mimi natoka home hata nguo sijanyoosha. Haoni kama nabana matumizi. Halafu ninyooshe ili iweje? Mafuta mimi napata ya tsh 500 tu. Yeye anatumia Nivea tsh 12,000 anatumia utuli. Mimi situmii hizo kitu.

Nakaona ka bwana mdogo kanajiangalia angalia kwenye kioo muda wote. Nataka nikang'oe kile kioo. Kanapaswa kuwa serious na maisha. Mtoto wa kiume na utuli wapi na wapi? Mi namtizama tu. Hajayajua maisha nataka aondoke akajifunze maisha huko mtaani.

Bado ni mdogo. Muache atukie Ujana wake vizuri
 
Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje?

Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo Mwaka jana lakini sioni kama yupo serious na maisha. Mimi hali yangu ipo tenge... Siwezi nyoosha nguo. Nanyosha ili iweje umeme wenyewe nao siku hizi haukai kabisa. Units zinakimbia kinyama.

Dogo hajifunzi maisha. Haoni mimi natoka home hata nguo sijanyoosha. Haoni kama nabana matumizi. Halafu ninyooshe ili iweje? Mafuta mimi napata ya tsh 500 tu. Yeye anatumia Nivea tsh 12,000 anatumia utuli. Mimi situmii hizo kitu.

Nakaona ka bwana mdogo kanajiangalia angalia kwenye kioo muda wote. Nataka nikang'oe kile kioo. Kanapaswa kuwa serious na maisha. Mtoto wa kiume na utuli wapi na wapi? Mi namtizama tu. Hajayajua maisha nataka aondoke akajifunze maisha huko mtaani.
Wacha ujinga, wache ajigaraguwe, ulivyokulia wewe ilikuwa dunia nyingine, sasa dunia nyingine, angalia tu asiwe shoga. Maana siku hizi mashetani wanafanya kampeni ushoga uonekane kitu cha kawaida.


Ulivyoandika nilikuwa nawaona mawazoni wajukuu zangu, nikacheka.
. Dunia inakwenda mbio sana.


Muhimu ni kuwafundisha maadili kwa vitendo siyo kwa maneno.


Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje?

Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo Mwaka jana lakini sioni kama yupo serious na maisha. Mimi hali yangu ipo tenge... Siwezi nyoosha nguo. Nanyosha ili iweje umeme wenyewe nao siku hizi haukai kabisa. Units zinakimbia kinyama.

Dogo hajifunzi maisha. Haoni mimi natoka home hata nguo sijanyoosha. Haoni kama nabana matumizi. Halafu ninyooshe ili iweje? Mafuta mimi napata ya tsh 500 tu. Yeye anatumia Nivea tsh 12,000 anatumia utuli. Mimi situmii hizo kitu.

Nakaona ka bwana mdogo kanajiangalia angalia kwenye kioo muda wote. Nataka nikang'oe kile kioo. Kanapaswa kuwa serious na maisha. Mtoto wa kiume na utuli wapi na wapi? Mi namtizama tu. Hajayajua maisha nataka aondoke akajifunze maisha huko mtaani.
Kama ni jukumu ulilokabidhiwa na wazazi linebebe Kama mzazi, mwinyeshe njia ya utafutaji.
Lakini Kama vyote unavyo sema anatumia gharama yake kuvipata, mshauri Kama mzazi.
 
Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje?

Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo Mwaka jana lakini sioni kama yupo serious na maisha. Mimi hali yangu ipo tenge... Siwezi nyoosha nguo. Nanyosha ili iweje umeme wenyewe nao siku hizi haukai kabisa. Units zinakimbia kinyama.

Dogo hajifunzi maisha. Haoni mimi natoka home hata nguo sijanyoosha. Haoni kama nabana matumizi. Halafu ninyooshe ili iweje? Mafuta mimi napata ya tsh 500 tu. Yeye anatumia Nivea tsh 12,000 anatumia utuli. Mimi situmii hizo kitu.

Nakaona ka bwana mdogo kanajiangalia angalia kwenye kioo muda wote. Nataka nikang'oe kile kioo. Kanapaswa kuwa serious na maisha. Mtoto wa kiume na utuli wapi na wapi? Mi namtizama tu. Hajayajua maisha nataka aondoke akajifunze maisha huko mtaani.
Ulipomzaa ulitegemea akimaliza chuo atateuliwa kuwa DED Kama watoto wa walamba asali.?
Pambana, mtaftie kazi dogo au mpe mtaji .......
Usitegemee DP w wataajiri watanzania.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo kama ulishindwa kumtengenezea misingi mapema basi jua una papai .
 
Bado ana elements za chuo, muache dogo apendeze akizoea life la mtaani atakuwa serious kama unavyotaka.
 
Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje?

Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo Mwaka jana lakini sioni kama yupo serious na maisha. Mimi hali yangu ipo tenge... Siwezi nyoosha nguo. Nanyosha ili iweje umeme wenyewe nao siku hizi haukai kabisa. Units zinakimbia kinyama.

Dogo hajifunzi maisha. Haoni mimi natoka home hata nguo sijanyoosha. Haoni kama nabana matumizi. Halafu ninyooshe ili iweje? Mafuta mimi napata ya tsh 500 tu. Yeye anatumia Nivea tsh 12,000 anatumia utuli. Mimi situmii hizo kitu.

Nakaona ka bwana mdogo kanajiangalia angalia kwenye kioo muda wote. Nataka nikang'oe kile kioo. Kanapaswa kuwa serious na maisha. Mtoto wa kiume na utuli wapi na wapi? Mi namtizama tu. Hajayajua maisha nataka aondoke akajifunze maisha huko mtaani.
Tanzania kuna tatizo kubwa sana la afya ya akili.

Jiangalie ndio unaharibikiwa kichwani hivyo.
 
Dogo anapoteza muda mwingi. Hana pesa anawezaje jiangalia kwenye kioo dk zote hizo? Si sahihi
 
Back
Top Bottom