Unakuwa unawahi trade unaweka order mtu ana fulfill nusu saa baadayep2p wanazingua nini hasa?
Watu tumepiga hela kimasihara tuu 😅😅😅Yaan hata sikupata coins zangu.
Kifupi sikuelewa somo.
Hongereni kwa mliofanikiwa.
Mobile money km kawaida mbona, watu wana deposit naku withdrawal kwa bank na hatakwa PayPal na ningine nyingi tuuWakuu binance walisema wameanzisha binance pay kwa Tanzania pia! Kwamba hadi kwa mobile money lakini nikiangalia naona mobile money hakuna au bado bado?
Pia nauliza hizo njia za benki crdb na nmb ni akaunti za dola au hizi hizi za kawaida za tsh? Maelekezo tafadhali maana jamaa wa p2p wanaringa sana
Mkuu kwa sasa mtu bado anawezs kupata hela kupitia dogs au tushachelewaMobile money km kawaida mbona, watu wana deposit naku withdrawal kwa bank na hatakwa PayPal na ningine nyingi tuu
Umesha chelewa mkuu ila ipo inayo mature September 26, hii itakua km Dogs tuMkuu kwa sasa mtu bado anawezs kupata hela kupitia dogs au tushachelewa
Hapo ni P2P mkuu, mimi naongelea kipengele cha binance payMobile money km kawaida mbona, watu wana deposit naku withdrawal kwa bank na hatakwa PayPal na ningine nyingi tuu
Mbona hamna link mkuu ?Nàwaletea link ya space hapa mkajifunze jinsi ya kupata pesa zenu za dogs
Ni mbwa huyo dogsNi coin ambazo idado yake inakuwa sawa na mbwa au???
Hongela mkuu kesho naachia mchongo mpyaa stay tune safali hii upige kaz kweliHatimaye Leo nimeuza coin zangu ,nmepata Kwa tigo pesa Tsh 39,000 si haba
Huhu utapeli achanane nayo mara moja mtajipotezeen muda bureKwa wale mliokosa dogs kwa mara ya kwanza sasa kuna shindano la kuwin dogs huko telegram hilo hapo
Earn DOGS with Wallet challengeCommunity
Telegram-native toolset for communities Channel: @join_community Overview & beta access: t.me/community_bot/betat.me
Shindano la dogs hilo la Telegram
Hujui chochote kuhusu cryptoHuhu utapeli achanane nayo mara moja mtajipotezeen muda bure
Hiv kupitia dogs umepiga ngap mkuuMe ndo nimewaletea dogs coin na watu wamepiga pesaa anzisha thread yako kuhusu hiyo ishu yako kama ni yakweli mbna unachafua thread yangu