Mkuu Pakawa,
Ufisadi (Corruption) kwa mawazo yangu unachangia mambo mengi, mojawapo ni mambo kama haya. Tatizo wengi tafsiri ya ufisadi tunaichukulia vingine, lakini urasimu pia ni sehemu ya ufisadi tu, unafanyiwa urasimu wa kila namna ili utoe rushwa!
Masikini nchi yangu...