Nimeipata sasa hivi wakati nikijiandaa kwenda kupata kabisa kangu pale Gidamez Pub, nje kidogo ya mji wa Lusaka kwamba yupo Mtanzania amepatikana na hatia na atafungwa maisha huko Uingereza. Eti alikuwa na chuo cha kufunza magaidi ndani ya London. Makubwa! Picha yake nitaipata kesho. Leo soma hii habari nimeiattach hapa.
Hivi hii nayo ni siasa? au ndio hivyo tena JF sio forums bali ni forum?
Nimeipata sasa hivi wakati nikijiandaa kwenda kupata kabisa kangu pale Gidamez Pub, nje kidogo ya mji wa Lusaka kwamba yupo Mtanzania amepatikana na hatia na atafungwa maisha huko Uingereza. Eti alikuwa na chuo cha kufunza magaidi ndani ya London. Makubwa! Picha yake nitaipata kesho. Leo soma hii habari nimeiattach hapa.
Hivi hii nayo ni siasa? au ndio hivyo tena JF sio forums bali ni forum?
Kama unautaka umodereta si useme tu....
Kamanda unatuchosha na thread zako za kukocopy na zisizokuwa za siasa. Hebu zitafutie mahala pake