Dokii, msanii wewe umechemshaaa

Dokii, msanii wewe umechemshaaa

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2010
Posts
1,005
Reaction score
82
Jamani leo nimejaribu kuchungulia nione kizota kuna ni pale nikamkuta msanii dokii akitoa burudani.yaani nilifadhaika sana na mfadhaiko huo uliniacha na maswali mengi pia..huyu dada alikuwa akikata viuno kama hana akili nzuri mbele ya viongozi wa taifa wenye imani tofauti haswaa za kidini ambao wameshika dini sana..me nimekwazwa na uchezaji wake na wanawake waliokuwa eneo lile wengi wao walijishika midomo huku wameinamisha vichwa vyao chini ishara ya kuhamaki wanachokiona...jamani wasanii angalieni mnatoa wapi burudani na sio kujichetua mbele ya kadamnasi yenye watu wa rika tofauti na imani tofauti..
 
Biashara matangazo bwana pale kuna wateja vibopa lazima akate nyonga sana anaweza akapata kichwa kikamtoa kimaisha we si unamuona fajara ta.ko anakula maisha na waziri...
 
Biashara ni matangazo. Mkutano kwisha kiuno chake kitakuwa kimepata soko.
 
Yule naye sionagi uzima ndani yake! Wakuhurumiwa!
 
si alikuwa ameokoka?
Hawa wasanii wana matatizo sana, nadhani alitangaza kuokoka ili kuficha maskendo ama ku-draw attention za watu, kwa kuwa anachokifanya sasa ni kichafu zaidi ya kile alichokuwa anakifanya kabla ya kutangaza kuokoka.
 
Unadhani kupata ubunge viti maalum ni kazi ndogo....Kwani Vicky Kamata alianzaje...lazima ujiuze ndugu
 
mali ya mtu mkubwa sana nji hii ina maana hamjui...he:becky:
 
Jamani leo nimejaribu kuchungulia nione kizota kuna ni pale nikamkuta msanii dokii akitoa burudani.yaani nilifadhaika sana na mfadhaiko huo uliniacha na maswali mengi pia..huyu dada alikuwa akikata viuno kama hana akili nzuri mbele ya viongozi wa taifa wenye imani tofauti haswaa za kidini ambao wameshika dini sana..me nimekwazwa na uchezaji wake na wanawake waliokuwa eneo lile wengi wao walijishika midomo huku wameinamisha vichwa vyao chini ishara ya kuhamaki wanachokiona...jamani wasanii angalieni mnatoa wapi burudani na sio kujichetua mbele ya kadamnasi yenye watu wa rika tofauti na imani tofauti..

Acha kumuudhi mungu wewe, huwezi kuihusisha ccm na utakatifu wa mungu!

Palipo na ccm/wanaccm shetani yu katikati yao!
 
Ma.laya Mzee yule

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi wanaocheza ngoma hawakati viuno?
Hapo ingechezwa sindimba viuno vingekatwa na thread isingeanzishwa ila kwa sababu ni dokii mmemuanzishia thread haya ngoja nione..
 
Hivi wanaocheza ngoma hawakati viuno?
Hapo ingechezwa sindimba viuno vingekatwa na thread isingeanzishwa ila kwa sababu ni dokii mmemuanzishia thread haya ngoja nione..
Tatizo sio viuno, Tatizo bi mdashi ni msanii wa GOSPEL.
Ila nakumbuka Nay alisema makahaba wenye viwango wapo.....
na kwa kuwa yeye hakupata nafasi ya kupanda jukwaani fiesta pale ndio lilikuwa jukwaa lake la kumwaga radhi kama wenzake Wema, Aunty nk....
 
Daaa sito shangaa mwaka 2015 akiwa mbunge viti maalum kupitia ccmweli!

Siku ya ufiunguzi ndio alikata kiuno hadi alikatika ni kashangaa ulokole ameuficha wapi tena!
 
Back
Top Bottom