Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,630
- 1,945
Wakuu baada ya Bw. Kinana yule kinara wa kusimamia kampeni za chama fisadi CCM kuibuka na risiti feki inayoonyesha USD 15,000/= ????? walizolipia ndege ya mama aliyemua kumpigia mumewe kampeni arudi ikulu akaendelee kula bata , taasisi nyingi tu za serikali zimeachana na fedha halali ya Tanzania hata baada ya tamko la serikali kuhusu matumizi ya dola.
AICC ni taasisi ya serikali. Ukienda kukodisha ukumbi wanakuambia dola , chakula..dola , computer,....dola maji ya kunywa ..dola , kalamu... dola. Dola ..dola.. dola ..hadi kupaki gari. Sasa sisi watanzania dola tunatoa wapi? Bora hao wageni wangelipa hizo dola lakini mbongo unamchaji dola ili iwe nini. Utashangaa hata pango la nyumba na ofisi wanacharge dola . Serikali hii vipi bana inaweka sheria inazivunja yenyewe ? Nyambaf.. Halafu eti kiongozi hicho kituo ni MCCM damu, na Mneki .
Doctor Slaa come , and come faster to redeem this collapsing nation.
AICC ni taasisi ya serikali. Ukienda kukodisha ukumbi wanakuambia dola , chakula..dola , computer,....dola maji ya kunywa ..dola , kalamu... dola. Dola ..dola.. dola ..hadi kupaki gari. Sasa sisi watanzania dola tunatoa wapi? Bora hao wageni wangelipa hizo dola lakini mbongo unamchaji dola ili iwe nini. Utashangaa hata pango la nyumba na ofisi wanacharge dola . Serikali hii vipi bana inaweka sheria inazivunja yenyewe ? Nyambaf.. Halafu eti kiongozi hicho kituo ni MCCM damu, na Mneki .
Doctor Slaa come , and come faster to redeem this collapsing nation.