Dola.. Dola... Dola taasisi za serikali

Mfamaji

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2007
Posts
6,630
Reaction score
1,945
Wakuu baada ya Bw. Kinana yule kinara wa kusimamia kampeni za chama fisadi CCM kuibuka na risiti feki inayoonyesha USD 15,000/= ????? walizolipia ndege ya mama aliyemua kumpigia mumewe kampeni arudi ikulu akaendelee kula bata , taasisi nyingi tu za serikali zimeachana na fedha halali ya Tanzania hata baada ya tamko la serikali kuhusu matumizi ya dola.

AICC ni taasisi ya serikali. Ukienda kukodisha ukumbi wanakuambia dola , chakula..dola , computer,....dola maji ya kunywa ..dola , kalamu... dola. Dola ..dola.. dola ..hadi kupaki gari. Sasa sisi watanzania dola tunatoa wapi? Bora hao wageni wangelipa hizo dola lakini mbongo unamchaji dola ili iwe nini. Utashangaa hata pango la nyumba na ofisi wanacharge dola . Serikali hii vipi bana inaweka sheria inazivunja yenyewe ? Nyambaf.. Halafu eti kiongozi hicho kituo ni MCCM damu, na Mneki .

Doctor Slaa come , and come faster to redeem this collapsing nation.
 
Hayo ndo matunda ya kuwa na viongozi wasio makini, hawataki hata kujifunza kutoka nchi jirani. Wanaachilia mambo tu yaende kienyeji-kienyeji na hilo unalozungumzia ndo sababu mojawapo inayosababisha mbomoko wa shililingi yetu kiasi kwamba hata Seriklai yenyeewe haiitaki pesa yake sasa tushangae nini shilingi kuporomoka?

Nadhani ili kutunusuru na mbomoko na mporomoko wa shilingi ni vema tukaifuta na kuanza matumizi ya dola na dola nayo ikashabomoka ndipo tuchapishe shilingi mpya. Hili limefanikiwa Zimbabwe; hata Somalia dola haina thamani kwa kuwa ndo pesa inayotumika kama sarafu halali vivyo hivyo Sudan Kusini rafiki yangu mmoja wa huko aliniambia kuwa wao mshahara wao wanpokea katika US dola na si pesa ya Sudan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…