Dola kumuweka benchi Dkt. Bashiru Ali Kakurwa ni hasara kwa Taifa kwa kutotumia Brain yake

Dola kumuweka benchi Dkt. Bashiru Ali Kakurwa ni hasara kwa Taifa kwa kutotumia Brain yake

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Inawezekana ikawa ni muendelezo uleule tu wa Viongozi wa wenye Uwezo wa kawaida kiakili kuwaonea wivu watu wenye akili nyingi na hivo kuogopa kuzungukwa nao.

Majuzi nilisikia MTU anasema, na yeye ni mwanauchumi, ila Dkt Mpango naye ni mwanauchumi ila alimsaidia baadhi ya masuala ya uchumi .( Kauli kama hii Kwa Tafasiri ya kawaida, MTU huyu anajifananisha na Mwenzake katika msingi wa kutaka kuonekana wote ni wabobevu jambo ambalo Si kweli ).

Dkt Bashiru pengine mapungufu yake ni ya kifalsafa dhidi ya kitu Fulani, ila ukweli ni kwamba Dkt Bashiru ni Gifted, IQ kubwa, Brain ilijitosheleza.

Kuendelea kumuweka Benchi ni kulikosea Taifa hili, Kwa kushindwa kunufaika na watu aina ya Dkt Bashiru.

Kwa CCM ya Sasa, Hamna MTU wa Kwenda na LISSU , Heche Kwa hoja , zaidi ya uchawa matokeo yake ni kushauriwa matumizi ya nguvu !!.

LISSU anahitaji watu aina ya Dkt Bashiru !!.
 
Inawezekana ikawa ni muendelezo uleule tu wa Viongozi wa wenye Uwezo wa kawaida kiakili kuwaonea wivu watu wenye akili nyingi na hivo kuogopa kuzungukwa nao.

Majuzi nilisikia MTU anasema, nayeye ni mwanauchumi, ila Dkt Mpango naye ni mwanauchumi ila alimsaidia baadhi ya masuala ya uchumi .( Kauli kama hii Kwa Tafasiri ya kawaida, MTU huyu anajifananisha na Mwenzake katika msingi wa kutaka kuonekana wote ni wabobevu jambo ambalo Si kweli ).


Dkt Bashiru pengine mapungufu yake ni ya kifalsafa dhidi ya kitu Fulani, ila ukweli ni kwamba Dkt Bashiru ni Gifted, IQ kubwa, Brain ilijitosheleza.

Kuendelea kumuweka Benchi ni kulikosea Taifa hili, Kwa kushindwa kunufaika na watu aina ya Dkt Bashiru.


Kwa CCM ya Sasa, Hamna MTU wa Kwenda na LISSU , Heche Kwa hoja , zaidi ya uchawa matokeo yake ni kushauriwa matumizi ya nguvu !!.

LISSU anahitaji watu aina ya Dkt Bashiru !!.
Anajua alishiriki major dhambi against current president is why bado wana mu hold down
 
Inawezekana ikawa ni muendelezo uleule tu wa Viongozi wa wenye Uwezo wa kawaida kiakili kuwaonea wivu watu wenye akili nyingi na hivo kuogopa kuzungukwa nao.

Majuzi nilisikia MTU anasema, na yeye ni mwanauchumi, ila Dkt Mpango naye ni mwanauchumi ila alimsaidia baadhi ya masuala ya uchumi .( Kauli kama hii Kwa Tafasiri ya kawaida, MTU huyu anajifananisha na Mwenzake katika msingi wa kutaka kuonekana wote ni wabobevu jambo ambalo Si kweli ).

Dkt Bashiru pengine mapungufu yake ni ya kifalsafa dhidi ya kitu Fulani, ila ukweli ni kwamba Dkt Bashiru ni Gifted, IQ kubwa, Brain ilijitosheleza.

Kuendelea kumuweka Benchi ni kulikosea Taifa hili, Kwa kushindwa kunufaika na watu aina ya Dkt Bashiru.

Kwa CCM ya Sasa, Hamna MTU wa Kwenda na LISSU , Heche Kwa hoja , zaidi ya uchawa matokeo yake ni kushauriwa matumizi ya nguvu !!.

LISSU anahitaji watu aina ya Dkt Bashiru !!.

..CCM walitakiwa wampe Umakamu Mzee Joseph Sinde Warioba.

..Mzee Warioba angewasaidia sana kuzidi Dr.Bashiru, Mzee Wassira, Paul Makonda, na wengine ambao majina yao yametajwa.
 
Hakuwa sahihi, yeye na current maja and other guy wanted kupindish katiba while jeshi lilikuwa against them.

..pia Dr.Bashiru ni sehemu ya genge lililofanya siasa chafu na sasa imelazimisha Mama aje na falsafa ya 4R.
 
Ikiwa yeye alisema hataki cheo chochote kikubwa zaidi ya kuwa katibu mkuu wa Ccm .

Huyo jamaa ni kilaza hana usmart wowote , kaharibu demokrasia hadi Leo hii bunge limejaa ccm watupu .
 
Taja vitu vikubwa alivyofanya alipokuwa kwenye madaraka ili tuone hiyo hasara...
 
Huyo hana sifa za kupewa madaraka au cheo cha kufanya maamuzi alikabidhiwa ofisi ya Ccm Kama katibu Mkuu kashia kulitia Taifa hasara kubwa Sana .

Ile pesa ya kununua wapinzani na kurudia uchaguzi unaona alikuwa na akili huyo ?.


Wahaya huwa wapo smart Ila huyo atakuwa na genetics ambazo sio za kihaya.


Alibidi kukaa chuoni Kutokana na elimu yake ndogo na sio kupewa ukatibu mkuu.


Bora hata Nchimbi kwa mbali .


Hapa Tanzania mtu ambaye yupo under utilized ni Lissu tu na sio makajanja na degree zao za sociology .

Mtu hana exposer kasoma political science na PhD za hapa hapa Tz then ndo umuite brainer Kidd.
 
Amewahi kuandika Andiko gani ambalo limeisadia Tanzania kupiga hatua .

Huyo sio msomi ni mswahili tu angekuwa smart mama asingempatia ubunge wa viti maalumu angepewa hata taasisi au angekuwa waziri.



Pesa alizoharibu katika kununua wapinzani na kurudia uchaguzi ndo umuite smart mtu Kama huyo ambaye hajitambui.
 
Kuna waTanzania milioni sitini plasi, kati ya hao umeona B. A. K pekee ndiye mwenye uwezo?

Nikukumbushe nukuu hii,
"No matter how good you are, you can always be replaced".

Fullstop.
 
Back
Top Bottom