Viongozi wetu wanajipendekeza mno kwa haya mabaka uchumi! sijui tutafika lini nasisi tukawa na nguvu ya kujivunia vyetu! everytime I see our leaders are "Don't care people". Mimi nashangaa sana napoona watu wanachekewa tu kwa kisingizio cha soko huria, wakati wanaiba.
Soko huria ni project ya nchi tajiri kutuibia kirahisi sisi wenye mizee iliyojaa kila sehemu haitaki hata kujifunza wala kusoma alama za nyakati.
Anyway, Ndulu naye anasema ni soko huria, anawataka wafanyabiashara kuacha kupandisha hovyo, nani atakusikia wakati ndo wenye chama, ndiyo hao hao mankutana nao kwenye makasino mnapewa moja baridi moja moto! mnacheka tu. I know this guys are F....ed. Hawana uchungu na nchi, nchi zingine vijana ndo wamejaa maofisini wanauchungu na nchi zao, lakini sisi wazee ndo wamejaa maofisini (hawana jipya) wakati jua lao linazama ndo wanakimbia kimbia.