Nikweli bureau awapokei nasikia zinatumika usa tu!
Ohh...Ok Ok....Na Hili la exchange rates,....kutofautia kati ya USD1,10,50,100 Likoje mnaweza nisadia wadau?
Mbona hesabu ni ya kawaida tu!!! Reja reja na jumla bei ni tofauti.
Hii series ya 1999 hapa Arusha haitumiki kabisa ila Money Changer akikuona ni wakuja anakutwanga za zamani. Ni Juzi tu nilikuwa Kampala pale Simba night Club, Garden City ndani kuna tangazo la bei na Dola za series 1999 kwenda chini ni bei kubwa!!!
Ohh...Ok Ok....Na Hili la exchange rates,....kutofautia kati ya USD1,10,50,100 Likoje mnaweza nisadia wadau?
Mbona hesabu ni ya kawaida tu!!! Reja reja na jumla bei ni tofauti.
Hii series ya 1999 hapa Arusha haitumiki kabisa ila Money Changer akikuona ni wakuja anakutwanga za zamani. Ni Juzi tu nilikuwa Kampala pale Simba night Club, Garden City ndani kuna tangazo la bei na Dola za series 1999 kwenda chini ni bei kubwa!!!
Mwisho wa mwaka jana tulikuwa Japan na tulitaka kubadilisha US$ to Yen, mwenzetu mmoja alikuwa na dola ya 2004 mashine ya bank ilikataa kabisa.
Walisema hawapokei za nyuma ya 2006. Kwa hivyo nchi nyengine pia huwa hazipokei dola hizo.