live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 855
- 1,365
Ukweli ni kwamba yajayo yanafurahisha watanzania tusubiri maumivu ambayo yawezekana hatujawahi kuyapata
Jana nilienda kariakoo kuchukua mzigo wa majora ya vitambaa vya shule vinaitwa ISTEM mwezi mmoja uliyopita bei ya jora Moja ilikuwa tshs 175000
Lakini Kwa Sasa jora Moja bei imepanda Hadi kufika tshs laki mbili
Nilipowauliza shida nini wakasema shida ni dollar kupanda na kuhadimika ndio maana hu mzigo Hadi unafika hapa inabidi tuuze laki mbili Kwa jora
Lakini pia nilichogundua hivi Sasa watu wanajiamulia tu mambo Yao Kwa kisingizio Cha Dollar kupanda na kuhadimika
Yani wafanya biashara wapo huru kana kwamba hakuna serikali wanafanya wanavyojisikia anayeumia hapa ni mwananchi
R I.P Jiwe
Jana nilienda kariakoo kuchukua mzigo wa majora ya vitambaa vya shule vinaitwa ISTEM mwezi mmoja uliyopita bei ya jora Moja ilikuwa tshs 175000
Lakini Kwa Sasa jora Moja bei imepanda Hadi kufika tshs laki mbili
Nilipowauliza shida nini wakasema shida ni dollar kupanda na kuhadimika ndio maana hu mzigo Hadi unafika hapa inabidi tuuze laki mbili Kwa jora
Lakini pia nilichogundua hivi Sasa watu wanajiamulia tu mambo Yao Kwa kisingizio Cha Dollar kupanda na kuhadimika
Yani wafanya biashara wapo huru kana kwamba hakuna serikali wanafanya wanavyojisikia anayeumia hapa ni mwananchi
R I.P Jiwe