Mfukutuzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 239
- 175
Hali inazidi kuwa mbaya kwa fedha yetu, hadi jana tarehe 25/6/2015 exchange rate ilikuwa inasoma 1US Dollar = 2283.75 Tsh, na hiyo ni kwa wastani, kuna sehemu inaenda mbali zaidi ya hapo, wadau tunalitazamaje hili? Tuachane na wataka Ikulu, tuangalie kwanza mustakabali wa nchi yetu.
Ni kweli hatuna wachumi wa kulishughulikia hili?
Ni kweli hatuna wachumi wa kulishughulikia hili?