kwanza unatakiwa ujue kila nchi inatumia pessa yake,, isipokua nchi chache sana ambazo zinashare pessa,,,
Sasa pessa baina ya nchi na nchi zinakua na thamani tofauti.. mfano, shillingi ya tanzania sio sawa na shillingi ya kenya au dollar ya kimarekan.... Sababu zinazofanya thamani ya pessa za nchi zitofautiane ziko nyingi sana ambalo ni somo jingine/lecture nyingine lakini we jua zinatofautiana thamani.....
Utofauti wa thamani ya pessa hua unafanyiwa makadirio kila siku, ikilinganishwa na thamani ya pessa za nchi nyingine,,,
mfano,,, thamani ya dollar inafanyiwa tathmin kila siku ikilinganishwa na shillingi ya tanzania ili kujua inaimarika au kuporomoka ikilinganishwa pia na pessa zingine zotte duniani....
Mfano ukiambiwa dollar 1 ni sawa na sh. 2000 ina maana katika dollar hii moja ndani yake kuna shng 2000 za kitanzania,,, au dollar moja ina thamani ya elf 2000 ya kitanzania,,, ina maana thamani ya dollar ni mara 2000 ya thamani ya shillingi,, ukienda leo marekani una shng 2000 mfukoni kwao hii ni sawa sawa utakua na dollar moja( kutokana na pessa yao ss) .....
kwa hiyo kama ulivouliza mfano nna dollar 250 ntajuaje ina thamani gani katika shillingi???? kama nlivokwambia kila siku thamani za pessa zinathaminishwa na kulinganishwa, ina maana utaangalia je siku hiyo thamani ya dollar ikoje ukilinganisha na shillingi????
mfano siku hiyo dollar moja ni sawa na sh. 2000,,,,
if 1 ==== 2000
250 ==== x
2000 x 250 == x
500,000 ===== x
kumbe dollar 250 kwa siku hiyo itakua sawa na thamani ya 500,000 ya kitanzania......................
DUUH !!!! KASOME SIMPLE CONCEPT ZA ECONOMICS/COMMERCE/FINANCE,,,,,, taelewa vizur kwa undani zaid...............