Dominika ya 27 August 2023 Tujuzane mlio sali KKKKT kulikuwa kwema huko?

Dominika ya 27 August 2023 Tujuzane mlio sali KKKKT kulikuwa kwema huko?

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Naombeni tujuzane mlio sali KKKT leo kanisani kulikuwa kwema?

Je wote mmekubali kuongozwa na mwizi wa kura Askofu malasusa?
Nategemea mrejesho wenu Ahsante
 
Waumini wa siku hizi wapo kama nyumbu, wanaongozwa na viongozi wa dini wenye utata nao wanawafuata tu hata kama wanavuka kwenye mto wenye mamba wakali wako tayari watekeketee kama wale wa kibwetere na mackenzie. Waumini hawana akili hata za kuumangilia ugali na kachumbari, hatari sana
 
Waumini wa siku hizi wapo kama nyumbu, wanaongozwa na viongozi wa dini wenye utata nao wanawafuata tu hata kama wanavuka kwenye mto wenye mamba wakali wako tayari watekeketee kama wale wa kibwetere na mackenzie. Waumini hawana akili hata za kuumangilia ugali na kachumbari, hatari sana
Hatari sana
 
Back
Top Bottom