"Nakupa vinchenchi nakupa visenti mbona hautaki kutulia" wivu mama wivu!
1. Miaka hiyo wakati naingia kwenye tasnia ya mahusiano nilidhani nikimpaš¤£visenti ndo atatulia aah nilijidanganya kumbe
2. Miaka hiyo nilidhani kuishi kipole Bila KUMFOKEA pale anapokosea ndio atatulia nilijidanganya
3. Miaka hiyo nilidhani kumpa Kila anaachoomba ndo atatulia nilijidanganya
4. Miaka nilidhani š¤£kumpa "cassava of ja-cow(hogo la Jang, ombe" ndo atatulia aah nilijidanganya
5. Miaka hiyo nilidhani kumfatilia sana wife ndio atatulia aah nilijadanganya
Kuna kawimbo huwa kanaimbwa "usimchezee chatu eeh chatu eeh" "š¤£
6. Miaka hiyo nilidhani kumpa pesa nyingi ndo atatulia aah nilijidanganya
Sasa nimehitimu cha ulimbukeni Karibu vijana wengine kwenye Chama
Chochote utakachofanya kwa mwanadamu mwenzio fanya kwa" "kiasi" usizidi kipimo.
1. Miaka hiyo wakati naingia kwenye tasnia ya mahusiano nilidhani nikimpaš¤£visenti ndo atatulia aah nilijidanganya kumbe
2. Miaka hiyo nilidhani kuishi kipole Bila KUMFOKEA pale anapokosea ndio atatulia nilijidanganya
3. Miaka hiyo nilidhani kumpa Kila anaachoomba ndo atatulia nilijidanganya
4. Miaka nilidhani š¤£kumpa "cassava of ja-cow(hogo la Jang, ombe" ndo atatulia aah nilijidanganya
5. Miaka hiyo nilidhani kumfatilia sana wife ndio atatulia aah nilijadanganya
Kuna kawimbo huwa kanaimbwa "usimchezee chatu eeh chatu eeh" "š¤£
6. Miaka hiyo nilidhani kumpa pesa nyingi ndo atatulia aah nilijidanganya
Sasa nimehitimu cha ulimbukeni Karibu vijana wengine kwenye Chama
Chochote utakachofanya kwa mwanadamu mwenzio fanya kwa" "kiasi" usizidi kipimo.