DOMPO: ipo siku ingeniua

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
kuna kipindi nilikuwa na mazoea ya kunywa hii wine na ilikokuwa inanipeleka ni kunitoa uhai. kun siku nilizinywa za kutosha. nilivyolala nikaamka saa 12 jioni kesho yake huku nikiwa na njaa kali sana. nikaenda kusaka supu na kurudi kudozi. ile nimezima taa nikawa naona nyotanyota kwenye giza na nikifumba macho naona nyotanyota. kumbe zile katuni zinaonaganyotanyota ni mambo ya kweli!. hapo mapigo ya moyo pia yapo irregular na najihisi kufakufa.

nawashauri wandugu msidanganyike na uwine wa dompo ni pombe kali sana 18%. ukinywa dompo moja ni sawa na kilimanjaro sita. pia ni fortified wine maana yake ni wine iliyochanganywa na pombe kali (spirit) sasa sijui kama kiwandani wana consintency katika uchanganyaji?.
wenu katika ulevi Red Giant.
 
Last edited by a moderator:
Pombe siyo chai .... Kwani ulikunywa ngapi mkuu
Nashauri unywe spirit zenyu upoaji Kama Jack Daniels ambazo unapata stimu za kizungu na hakuna uchovu hata ukiamka asubuhi
Next time ukitaka wine go for South African wines ziko poa mkuu sema bei kidogo ni mkasi kuanzia 15k and above
 
Njaa si mchezo pamoja na ulevi wote ilikuamsha hahahahah
 
Kuna jamaa tumemzika wiki mbili zilizopita kwa kuzidisha unywaji wa pombe. Ila yeye si dompo but alikunywa laga nyingi sana usiku kucha ilipofika alfajiri akatungua mzinga mzima wa Konyagi akaunywa wote kavu kavu!! Akidai ndo stimu za kulalia na kweli akalala moja kwa moja
 
Duh....hizo Dompo kuna mshkaj wangu alitupia mbili halafu akashushia na Zanzi 3.......alijikojolea bila kujua na aliumwa siku 3 hoi


HajaJiny*a....

Funda moja tu la ziada Linakuumbua...
 
karibia tatu mkuu. ila kama unavyosema za south ndiyo wine siku hizi napenda sana namaqua.
 
da! jamaa alitaka kushindana na pombe. hili kosa watu wengi sana hulifanya. hata madrug addicts hufa dizain hii.
 

Neno linasema hivi .....MPE maskini pombe anywe alewe asahau shida zake
 
Last edited by a moderator:
pia linasema. "divai, inamfanya mwanadamu anaeweza kufa afurahie maisha"

Unakumbuka kisa cha Lutu na mabinti zake baada ya maangamizi ya Sodoma na Gomora? Baada ya kuona kizazi kitaisha kama wasipofanya maarifa walimpa baba yao pombe akanywa akalewa wakampa mambo wakashika mimba
 
Unakumbuka kisa cha Lutu na mabinti zake baada ya maangamizi ya Sodoma na Gomora? Baada ya kuona kizazi kitaisha kama wasipofanya maarifa walimpa baba yao pombe akanywa akalewa wakampa mambo wakashika mimba
nakumbuka. hata noah alivyotoka kwenye safina alipanda zabibu zilipoiva akatengeneza divai na kulala hemani. mtu aliyeokoka gharika asingekunywa tungi ingekuwa dhambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…