Don Nalimison asimamishiwa Mishahara na Serikali Halmashauri ya Jiji la Mwanza

Don umetuangusha wafuasi wako tulishaanza kuuzoea muonekano wako mpya wa pama matata na mawani ya nginjanginja, imekuwaje tena?

Btw ulitumia gharama kiasi gan kupata huu muonekano matata?

 
Uligombea?
 
Kabisa... Nashanga watu Wana chukulia poa

Ova
 

Mavigogo Uchwara ya Mwanza ni Machawi.
 
Njoo ofisini muda huu uchukue haki zako
Nimekupigia muda sio mrefu

0009
 
Nimeangalia muundo wa kichwa chako nimegundua sio mzima huo mbonyeo wa kichwa ndio unaoleta hitilafu.
Ahaaah ahaaah wewe umemaliza . Nilitaka niandike kitu, Ila wewe umegonga msumali wa mwisho Kwenye jeneza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…