Don Nalimison looks for a girl to get marry

Pia huna kazi ulifukuzwa ualimu.

Swali hela ya kula unapata wapi? Hela ya bando unapata wapi? Hela ya studio unapata wapi?

Jf members tumekuchunguza tumejua wewe ni AFISA KIPENYO+AFISA KIFICHO (Mzee wa tisss). Teh teh teh!
Kama Tiss ndo huwa wanaimba vile basi hakuna kitu kwenye ile idara..😂
 
DON NALIMISON DESTINY

FACT: Iam 40 years, I haven't wife, I haven't girlfriend, I haven't Children, I haven't Marriage, I haven't house, Iam Single, Unmarried.

View attachment 1575869

Mtemi! katika umri wako huo, unatakiwa uweke CV iliyojaa mali na vitega uchumi unavyomiliki! Sasa cha kushangaza umejaza I have't nyingiiii!!

Kwa hii CV yako ya I have't, unategemea kuna mtoto mzuri kweli atakubali awe mama Don Nalimison kweli!! Waambie unamiliki magari mangapi! Una nyumba ngapi! Una viwanda vingapi! Una mabaunsa wangapi wanakulinda! nk.
 
Aisee😀😀, nilitaka niende ila hizo Haven't zimenikimbiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…