Don Williams enzi za uhai wake alikuwa Na Swaga

Sijaisikiza ngoja nizame YouTube mkuu
 
Kwenye hiyo album pia kuna nyimbo moja kali sana inaitwa the best woman win,dolly ni balaa haswaa,sijaona queen wa country zaidi yake
Who do you think you are what do yo think this is. The best woman wins I will fight to the end... May the best woman woman win

I will Neve r give up or give in May the best woman win

Naufaham Sana mkuu
 
kama kuna mdau anayo link nzuri ya kudownload hizi nyimbo atuwekee hapa au kama anazo sio mbaya pia akizitiririsha humu,napenda sana kusikiliza hasa nikiwa long safari naendesha.
 
Hellow ! My fellow Country Fans naomba muingie YouTube mstream au mdownload hitsong ya mwanadada Gretchen Wilson inaitwa "When I think about cheating "


Hii ni moja ya nyimbo chache sana kwa sasa ambazo zimeinvolve gitaa ,banjo , violin na piano kama old Country songs zilivyokuwa . This song is really dope.
 
Who do you think you are what do yo think this is. The best woman wins I will fight to the end... May the best woman woman win

I will Neve r give up or give in May the best woman win

Naufaham Sana mkuu

bonge moja la wimbo,naupenda sio kidogo mkuu,pamoja sana
 
Mkuu kuna huyu jamaa anaitwa John Cash ( Man in black) ni balaaaa sna pia
 
Huyu jamaa alikua anajua jamani dash...pumzika panapokustahili DON
 
Akhsanteni wahenga, uzi huu umetaja nyimbo zinazonikumbusha mbaaali, natamani zama zile zirudi
 
Ana kibao chake cha Is Anybody going to San Antonie...nakikubali sana.Huyu jamaa nae yupo vizuri sana kwenye Mziki wa country.
 
Wagoner yupo vizuri sana.Ndio aliyemtoa Dolly Parton na kumtambulisha kwenye game.
Parton kwenye collabo ni mzuri sana hata ukimsikiliza akifanya na Kenny Rogers unaburudika sana.
 
Copenhagen DN wanaume wengine hao hapo. Vyombo viwili tu vimetumika hapo. Hizo ni nyimbo from Rio Bravo movie, ambayo ningekushauri uiangalie December hii. Ni movie ya mwaka 1959.

Cc Malcom Lumumba
 

Attachments

Nipo hapa la stanza yaani huu uzi imenigusa sana natamani huyu jamaa anayepiga manyanga niombe apige hiyo some broken heart loh mzee wangu anazile kanda zake za kuzungusha na pen na ndiyo alinifanya nizipende nyimbo zake.
 
Listen to the radio..... my favourite!!?
Jamaa fundi sana kwenye country music, nimeoenda anapimwambia demu sikiliza kwa redio kile inasema ndio nilichotka kukwambia dah sio domo zege ila ujumbe umefika kwa njia ya redio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…