Na sijui wanasubiri nini kumsuck!kachemsha sana safari hii alimuacha trezeguet sababu ya chuki binafsi!alikuwa anachemsha kumpanga mouluda wakati hata kucheza ni mchemshaji tu!mimi pongezi zangu nampa Guus Hiddink kawanyanyua sana warusi!kwa mara ya kwanza urusi iliifunga england kwenye makundi wakati wakitafuta washiriki!Na sasa imeonyesha haikubahatisha!Domenech is one cocky fella...he needs to be sucked ASAP!!!