Donald Trump akimkemea katibu wa NATO Jens Stoltenberg kuhusu nord stream 2

Donald Trump akimkemea katibu wa NATO Jens Stoltenberg kuhusu nord stream 2

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Unajua Donald Trump alikuwa na madhaifu yake na unaweza kumpuuza, lakini huwezi kupuuza uwezo wake wa kuangalia mambo kwa mapana. Utawala wake ulikuwa ni tofauti kabisa na watu walivyotegemea, ambapo tulidhani inaweza kutokea vita kubwa lakini haikutokea.

Kwenye hii video alikuwa anazungumza na Jens Stoltenberg kwamba, kwanini waliruhusu Nord Stream 2 ijengwe ilhali wanafahamu fika kwamba Urusi ni taifa hasimu. Alivyoongea haya mwaka 2018 wengi walibeza sana, lakini uhalisia wake umekuja kudhihirika mwaka 2022.

 
Sisi ni watazamaji tu, ngoja waje Wamarekani wa Mchambawima kupingana na hii habari yako wakidai wao ndiyo wataalamu haswa wa USA kiufahamu zaidi ya huyo Trump[emoji2960]
 
Humu duniani kuna binadamu wanaoitwa wachafuzi wa hali ya hewa.........hao hupuuzwa na kuchukiwa kupewa AIRTIME kwa kuwa huwa wanaongea UKWELI USIOPENDWA.....
Pamoja na MAPUNGUFU yake ila mh.Rais TRUMP anabaki kuwa ni mmoja wao.......

Siempre El Comandante Putin👍


#Siempre JMT🙏
 
Huu mgogoro huenda ndio mwanzo wa anguko la Putin kwenye siasa za Urusi......ila itategemea athari za vikwazo na kutengwa kwa Urusi zitakavyoiathiri nchi yake.

Akisalimika bila misukosuko huenda akageuka 'Stalin' wa karne ya 21.
 
Humu duniani kuna binadamu wanaoitwa wachafuzi wa hali ya hewa.........hao hupuuzwa na kuchukiwa kupewa AIRTIME kwa kuwa huwa wanaongea UKWELI USIOPENDWA.....
Pamoja na MAPUNGUFU yake ila mh.Rais TRUMP anabaki kuwa ni mmoja wao.......

Siempre El Comandante Putin👍


#Siempre JMT🙏
Nimetambua kadiri siku zinavyokwenda mbele, wanadamu tunazidi kupata maarifa mengi sana, huku uelewa na uwezo wetu wa kufikiri unapungua kwa kiwango kikubwa. Tunafahamu mambo mengi sana kichwani, lakini hatuwezi kutambua na kung'amua. Kuna hatari kubwa sana huko mbeleni,...
 
Huu mgogoro huenda ndio mwanzo wa anguko la Putin kwenye siasa za Urusi......ila itategemea athari za vikwazo na kutengwa kwa Urusi zitakavyoiathiri nchi yake.

Akisalimika bila misukosuko huenda akageuka 'Stalin' wa karne ya 21.
Huu mgogoro wanamtafuta putin kwa hali na mali... Lakini pia putin yupo na tahadhari kubwa mno... NATO/USA inachofanya kwasasa ni kuwapa pressure warusi ili wapingane na rais wao... Kitu ambacho ukiangalia kwa undani hawawezi fanikiwa... NATO haingii vitani hadi aone Marekani katia guu hapo...
Ukraine inaenda kuanguka.
 
2014, Urusi yaivamia Ukraiine (5)_11zon.jpg
 
Huu mgogoro huenda ndio mwanzo wa anguko la Putin kwenye siasa za Urusi......ila itategemea athari za vikwazo na kutengwa kwa Urusi zitakavyoiathiri nchi yake.

Akisalimika bila misukosuko huenda akageuka 'Stalin' wa karne ya 21.
Kwa malengo makubwa ya URUSI haitokuwa rahisi kwa mfumo wa Putin kutoendelea kutamalaki hata asipokuwepo yeye....

Atawaachia wengine wenye njia tofauti lakini zenye mwendelezo wa malengo yao kuntu......

Urusi ,China ,Iran,NK haziwezi kubadili njia za maisha yao kwa shinikizo lolote lile......
 
Huu mgogoro wanamtafuta putin kwa hali na mali... Lakini pia putin yupo na tahadhari kubwa mno... NATO/USA inachofanya kwasasa ni kuwapa pressure warusi ili wapingane na rais wao... Kitu ambacho ukiangalia kwa undani hawawezi fanikiwa... NATO haingii vitani hadi aone Marekani katia guu hapo...
Ukraine inaenda kuanguka.
Hakika.....

Hotuba ya juzi ya mh.Rais Biden ametamka hayo......lengo ni mwendelezo uleule wa kuwasababishia INTERNAL CONFLICTS/CHAOS....
 
Back
Top Bottom