Donald Trump amempa Elon Musk mamlaka ya kudhibiti mifumo ya malipo ya Wizara ya Fedha ya Marekani, akimruhusu kuona na kusimamia matumizi ya kodi

Donald Trump amempa Elon Musk mamlaka ya kudhibiti mifumo ya malipo ya Wizara ya Fedha ya Marekani, akimruhusu kuona na kusimamia matumizi ya kodi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Msako wa Elon Musk na bwana Donald kwenye mifumo ya bajeti na fedha huko Marekani unaendelea kushika kasi.

Hivi karibuni Elon Musk amepewa mamlaka na Donald Trump chini ya Wizara mpya ya Ufanisi Wa Serikali kusimamia na kudhibiti mifumo ya ugawanyaji fedha ya serikali.

Hivyo, ni kwamba Elon Musk ana uwezo sasa wa kuona jinsi pesa ya Wamarekani na kudhibiti kabisa pesa ya serikali isiende kwenye baadhi ya miradi hata kama imedhinishwa na bunge la Marekani.

Elon kwa sasa ana uwezo wa kusema pesa fulani iruhusiwe kwenda mradi fulani au isiende na kuamua nani anafaa kulipwa na serikali ya Marekani au vice versa.

Wizara hiyo ya Ufanisi ina lengo la kupunguza matumizi mabaya ya serikali ya Marekani

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, baadhi ya watu wa Wizara ndio wameruhusiwa kuona na kusimamia mfumo huo ambapo pia baadhi ya watu ndani ya Wizara ya Fedha ya Marekani wameonekana kutopendezwa na mamlaka anayopewa Elon Musk ndani ya serikali ya Marekani.



trump mask.png


==================================================================

The Elon Musk-led Department of Government Efficiency (DOGE) reportedly has access to the system that disburses money on behalf of the federal government, having been given that access by Treasury Secretary Scott Bessent.

This access to the federal payment system provides DOGE with a tool that can be used to monitor and limit government spending, including the ability to restrict the disbursement of money approved by Congress, The New York Times reported Saturday (Feb. 2), citing unnamed sources.

A top Treasury Department official, David Lebryk, had resisted allowing DOGE to access the system, according to the report. Lebryk was put on leave and then retired Friday (Jan. 31).

The members of the DOGE team who were given access to the system were made Treasury employees, passed government background checks and obtained security clearances, per the report. Treasury Department attorneys approved the granting of access.

DOGE’s gaining of access to the system is meant to support its mission of reducing government spending and to allow scrutiny of improper payments, according to the report.

Teams associated with DOGE are also seeking access to other federal agencies’ data and systems, per the report.
 
Marekani imekuwa kituko, kama kinyago cha mpapure.
Ndugu zako MAGA wanamkubali vibaya mno huyu mwehu.

Sema vilio hata kwao muda sio mrefu vitaanza tu hata Magufuli CCM walijua watakaolia ni upinzani tu walisahau kuna muda hata wao baadhi yao atawageukia.

Trump hana mshirika huyu kichaa anavurugana na Ulaya anampa nafasi adui yake China kuchua advantage anavurugana na Mexico,Canada huku Taiwan naye kuna furushi la ushuru lina msubiri na anasema hawezi jisumbua na Taiwan iliyo maelfu ya kilomita kutoka Washington.

Putin anachekea tu chooni kazi ipo kwa marekani safari hii kweli kajipata kwa mwehu
 
Nadhani unashindwa kuelewa DOGE ni nini? Kwanza si wizara rasmi ya serikali, haiko ndani ya mfumo wa serikali ya marekani.

Wizara kwa mfumo wa utawala wa Marekani, zinatwa cabinet department. Eg Department of Justice, Department of Defence, Department of Health and Human Services

Rais hawezi anzisha without bunge la Seneti kuruhusu.

DOGE ni taasisi ya kumshauri rais kuhusu goverment effiency kwenye masuala mbali mbali. Lakini si department ya serikali

Na si kweli kwamba Elon ana uwezo wa kusema lolote au kumpangia chochote kiongozi wa Marekani, yeye si Official wa US Gov Technicaly
 
Nadhani unashindwa kuelewa DOGE ni nini? Kwanza si wizara rasmi ya serikali, haiko ndani ya mfumo wa serikali ya marekani.

Wizara kwa mfumo wa utawaoa wa america zinatwa cabinet department. Eg Department of justice, department of defence, department of health and human services

Rais hawez anzisha without bunge la senate kuruhusu.

DOGE ni taasisi ya kumshauri rais kuhusu goverment effiency kwenye masuala mbali mbali. Lakini si department ya serikali


Na si kweli kwamba elon ana uwezo wa kusema lolote au kumpangia chochote kiongozi wa marekani, yeye si official wa US gov technicaly

Sasa unachokataa ni nini?

Na habari imeandikwa hapo kwa kiingereza kwa chini.

Kwamba wewe unaijua serikali ya Marekani kuliko Wamarekani wenyewe ambao wameandika hii habari?

Watanzania bhana
 
Nadhani unashindwa kuelewa DOGE ni nini? Kwanza si wizara rasmi ya serikali, haiko ndani ya mfumo wa serikali ya marekani.

Wizara kwa mfumo wa utawaoa wa america zinatwa cabinet department. Eg Department of justice, department of defence, department of health and human services

Rais hawez anzisha without bunge la senate kuruhusu.

DOGE ni taasisi ya kumshauri rais kuhusu goverment effiency kwenye masuala mbali mbali. Lakini si department ya serikali


Na si kweli kwamba elon ana uwezo wa kusema lolote au kumpangia chochote kiongozi wa marekani, yeye si official wa US gov technicaly
DOGE ni zaidi ya department zote za serikali ya Marekani ndio maana Elon Musk amepata access ya kuingilia karibia ya mifumo yote ya serikali ya Marekani. Labda CIA tu ndio atakuwa hajaweza kupata ruhusa ya kuperuzi humo, ila inaweza kuwa suala la muda tu.
 
DOGE ni zaidi ya department zote za serikali ya Marekani ndio maana Elon Musk amepata access ya kuingilia karibia ya mifumo yote ya serikali ya Marekani. Labda CIA tu ndio atakuwa hajaweza kupata ruhusa ya kuperuzi humo, ila inaweza kuwa suala la muda tu.
Kaka si zaidi, hamna taasis ya nje ambayo ni zaidi ya serikali ya marekani.
And no hajapata access ya kuingilia mifumo yote ya serikali. Access aliyopewa ni limited si department zote, ni department chache sana na huko ni kuangalia service delivery tu


Hajaruhusiwa Kuingilia IC under DNI, huko ni beyond level zake.
 
Kaka si zaidi, hamna taasis ya nje ambayo ni zaidi ya serikali ya marekani.
And no hajapata access ya kuingilia mifumo yote ya serikali. Access aliyopewa ni limited si department zote, ni department chache sana na huko ni kuangalia service delivery tu


Hajaruhusiwa Kuingilia IC under DNI, huko ni beyond level zake.
Screenshot_20250203-111331_X.jpg
 
Kaka si zaidi, hamna taasis ya nje ambayo ni zaidi ya serikali ya marekani.
And no hajapata access ya kuingilia mifumo yote ya serikali. Access aliyopewa ni limited si department zote, ni department chache sana na huko ni kuangalia service delivery tu


Hajaruhusiwa Kuingilia IC under DNI, huko ni beyond level zake.
Screenshot_20250203-111827_X.jpg
 
Kaka si zaidi, hamna taasis ya nje ambayo ni zaidi ya serikali ya marekani.
And no hajapata access ya kuingilia mifumo yote ya serikali. Access aliyopewa ni limited si department zote, ni department chache sana na huko ni kuangalia service delivery tu


Hajaruhusiwa Kuingilia IC under DNI, huko ni beyond level zake.
20250203_111813.jpg
 
Marekani imekuwa kituko, kama kinyago cha mpapure.
Acha anyooshe nchi. Unadhani kwanini China mnamuona smart? Sababu yeye kitambo nchi yake inafanya hayo. Acheni US iendeleze msako, ikikamilisha muone kama mtaiita Kinyago cha Mpapure, sasa hivi iiteni majina yote mnayoweza kuiita
 
Acha anyooshe nchi. Unadhani kwanini China mnamuona smart? Sababu yeye kitambo nchi yake inafanya hayo. Acheni US iendeleze msako, ikikamilishe muina kama mtaiita Kinyago cha Mpapure, sasa hivi iiteni majina yote mnayoweza kuiita
You MAGA people are gullible🤣
 
Huyu mzee ana akili sana.

Tajiri kama elon Musk anafahamu vilivyo kudhibiti pesa thar's why hayumbi yumbi kiuchumi.
Pia ni mzuri kwenye technology hivyo anaweza kubuni mifumo bora ya udhibiti wa pesa na kuziba mianya ya uchakachuaji hapo Trump kacheza vizuri kete yake
 
Back
Top Bottom